Wanawake muelewe; kwa Sisi Wanaume watoto wote sio Sawa. Tunawapenda na kubariki wale wanaotusikiliza

Umeamua Tu kukaza fuvu lakini ukweli uko wazi!

Sizungumzii nadharia.
Tunazungumzia uhalisia

Mtoto kama angekuwa connected na mama yake au Baba yake. Hii inamaanisha pasingekuwepo na watoto wasiowapenda Mama zao au wasio na ukaribu na Mama zao.
Wewe ndio unakaza Fuvu
 
Sizungumzii nadharia.
Tunazungumzia uhalisia

Mtoto kama angekuwa connected na mama yake au Baba yake. Hii inamaanisha pasingekuwepo na watoto wasiowapenda Mama zao au wasio na ukaribu na Mama zao.
Wewe ndio unakaza Fuvu
Huo ndio uhalisia wenyewe,lakini huwa inatokea mama anaamua kuharibu kwa nguvu huo muunganiko ndo inatokea Ile ya mtoto kutompenda *****!
 
Mwanaume anazalisha Mwanamke anazaa.

Hakuna Mwanamke mwenye uchungu wala mwanaume mwenye uchungu zote hizi ni nadharia za mtu mweusi ambazo zinatokana na uhaba wa maarifa na akili
Anayezalisha ni mkunga, mama anajigungua baba na mama wanazaa ila mtoto ni wa baba.

Kinachochanganya watu ni ukaribu wa mtoto na mama, ambao pia saiv hiyo nafasi mahousegirl wameiteka.
 
Anayezalisha ni mkunga, mama anajigungua baba na mama wanazaa ila mtoto ni wa baba.

Kinachochanganya watu ni ukaribu wa mtoto na mama, ambao pia saiv hiyo nafasi mahousegirl wameiteka.
Binadamu pia ni mnyama wa kawaida japo hii concepts watu wanikataa Ila tabia za kujimilikisha mtoto hazina maana na hazifai na zinasababisha Phobia ukubwani ya mtu kushindwa kujitegemea.
 
Mwanaume anazalisha Mwanamke anazaa.

Hakuna Mwanamke mwenye uchungu wala mwanaume mwenye uchungu zote hizi ni nadharia za mtu mweusi ambazo zinatokana na uhaba wa maarifa na akili
Au siyo.

Narudia tena.

Mwanamme ndiye anayezaa mtoto. Ukija bila kujitia ujuaji, nitakufafanulia kwa nini nasema mwanamme ndiye anayezaa.
 
Mimi niliowazaa ndo najua uchungu wa kila mmoja wao. Hata kama hawakusikilizi wewe
Huo uchungu mnaona kama adhabu sio, hiv wew na mmeo mkichukua mbegu zenu zikarutubishwa na kutungishwa kwrnye tumbo la Amina hivi huyo mtoto atakuwa kazaliwa ns nani?. Na mbali na uchungu unaousema hivi wew kama mama utakuwa na swaga zipi tena za kumpenda huyo mtoto?
 
Anatoa hoja za kisiasa .

Je uchungu wa kuzaa ni sawa na ule wa Baba kuipambania familia yake ili ipate mkate?
 
Binadamu pia ni mnyama wa kawaida japo hii concepts watu wanikataa Ila tabia za kujimilikisha mtoto hazina maana na hazifai na zinasababisha Phobia ukubwani ya mtu kushindwa kujitegemea.
Mkuu sio kujimilikisha inategemeana misingi ya familia imdjengwa kwenye falsafa ya iman ipi.
Kama wazaz wanaamin ktk Mungu suala la mtoto kuwa wa baba sio mjadala hata kidogo.
 
Mkuu sio kujimilikisha inategemeana misingi ya familia imdjengwa kwenye falsafa ya iman ipi.
Kama wazaz wanaamin ktk Mungu suala la mtoto kuwa wa baba sio mjadala hata kidogo.
Mtoto anabidi kuandaliwa kwa ajili ya jamii nzima na sio hizi mambo za kugombania mtoto hii inazalisha ubinafsi na kuleta phobia
 
Anatoa hoja za kisiasa .

Je uchungu wa kuzaa ni sawa na ule wa Baba kuipambania familia yake ili ipate mkate?
Wenyew wanaujua ukweli kwamba hawana huo uchungu wanaousema.
Mbona kutwa kucha kuwalaum wanaume kwamba wamewaachia mzigo wa malezi?.

Wengi wanaozaa na mastaa huwa hawawazi kuhusu watoto bali kujinufaisha wao wenyew.

Wengind wanazaa ilimradi waonekane wana mtoto hata kama hawajui watamlea vip mtoto.
Yote tisa hao ndo vinara wa kuwaangamiza baba za watoto wao ilihali wao wanawaombea baba zao waendelee kuwa hai. Inshot kuna namna wanawake wako roho ya nyoka yaan wanakaroho flan kabaya kwa watoto ila wanajivisha vazi la uchungu na blaa blaa kibao.
 
100%
 
Duh mwanamke akianza kusema kama wewe ni hatari mno , yani unamwacha haraka sana tena kwa siri.
kenge kama hiyo, ilopoke huko huko, kwangu mimi muuza mapanga yaliyoNOLEWA kabisa kwa bei cheeee, nitayajaribu kwenye shingo yake,..
 
Mtibeli kunywa soda Kwa Mangi. Ila iwe jioni baada ya futuru. Something people don't understand Kwa nini mtoto wa nne au wa SITA anakuwa anabeba familia licha ya kuwa kuna wakubwa zake ni hili.

Kati ya watu nisioacha kusoma andiko lake wewe ni mmojawapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…