yuda75
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 520
- 1,385
Habarini wadau,
Jamani dada zetu au wanawake siku hizi wamebadilika sana wengi wao wanawaza kupata mwanamme wa kumtimizia mahitaji yake haswa ya kimaisha. Wao wanawaza kupendeza na kuvaa vizuri kuliko kujishughulisha katika vitu vya maendeleo ndio chanzo cha kuangukia kuwa malaya na kujiuza kwani wanaume nao hatupo tayari kwa hilo zaidi tunawaza tupate wanawake ambao ni wake na mama watoto wetu.
Wadada huduma huja kwa kujihudumia
Jamani dada zetu au wanawake siku hizi wamebadilika sana wengi wao wanawaza kupata mwanamme wa kumtimizia mahitaji yake haswa ya kimaisha. Wao wanawaza kupendeza na kuvaa vizuri kuliko kujishughulisha katika vitu vya maendeleo ndio chanzo cha kuangukia kuwa malaya na kujiuza kwani wanaume nao hatupo tayari kwa hilo zaidi tunawaza tupate wanawake ambao ni wake na mama watoto wetu.
Wadada huduma huja kwa kujihudumia