Wanawake na mawazo mgando ya kuhudumiwa

Wanawake na mawazo mgando ya kuhudumiwa

Mke wako uneshampa ?
Kwani alishawahi kuja kwako kulalamika hapewi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah jamaniii uzi wa mtu mwingne, yee anakomaa na coca as if alishaambiwa kuwa ana shida.
 
Hela au huduma zenu huwa mnatoa kwa upendo na utashi wenu.
Ukiona unatoa huku unalalamika hapo ni tatizo.

Anyway kuna raia wamesema utafute hela huko juu na mie nakazia tafuta hela

Wanawake wengi hamtoagi hela nyingi za bure kwa boyfriends wenu, ndo kusema nyie hamnaga upendo amu
 
Kwani alishawahi kuja kwako kulalamika hapewi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah jamaniii uzi wa mtu mwingne, yee anakomaa na coca as if alishaambiwa kuwa ana shida.
Sijui kwann ukiulizwa swali dogo tu, huwa hujibu badala yake unacharaza mistari mingine irrelevant.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi una nini wee dea, nimecheka kwa sauti hadi mbavu zinauma, afu nipo na watu lol
Hahahaha pole babe kwa kuumia mbavu, hawa wanatakiwa kwenda nao hivyo hivyo ndio akili zinawakaa, [emoji1]
 
Back
Top Bottom