Wanawake na mawazo mgando ya kuhudumiwa

Wanawake na mawazo mgando ya kuhudumiwa

Unazingua ustaadh
Ma Ustadh huwa hatuzingui. Na ndiyo tunao sifika kwa kuoa sana, huwa hatujivungi kabisa. Unataka zawadi hutaki ?

Kuna kitu nimekumbuka. Unafaa kufunga mahesabu ya kuwa mke wa nne kabisa.
 
Hayo mawazo mgando ya wao kupenda/kutaka kuhudumiwa yatayeyuka baada ya nyie wanaume kusitisha huduma

Sasa sitisheni hizo huduma kama mnaweza

Habarini wadau,

Jamani dada zetu au wanawake siku hizi wamebadilika sana wengi wao wanawaza kupata mwanamme wa kumtimizia mahitaji yake haswa ya kimaisha. Wao wanawaza kupendeza na kuvaa vizuri kuliko kujishughulisha katika vitu vya maendeleo ndio chanzo cha kuangukia kuwa malaya na kujiuza kwani wanaume nao hatupo tayari kwa hilo zaidi tunawaza tupate wanawake ambao ni wake na mama watoto wetu.

Wadada huduma huja kwa kujihudumia

Mwanamke kupenda/kusubiri kuhudumiwa na mumeo siyo mawazo mgando bali ndivyo inavyotakiwa. Mwanaume ni kiongozi wa familia na moja wapo ya wajibu wa kiongozi ni kuhakikisha jamii yake inapata huduma muhimu tena kwa wakati. Mwanamke ni msaidizi hivyo majukumu yake ya msingi akiwa kwako ni kukupikia, kukufulia, kukuliwaza, kukuzalia watoto ili kuendeleza ukoo wako nk.

Acha kutafuta visingizio vya kukwepa majukumu, wajibika Mama aishi kwa kuwa ni wajibu wetu (Wanaume), imetupasa tena ni haki.
 
Jamani ni mawazo mgando au ni kitu kipo enzi na enzi, mwanamke ni pambo la nyumba anapaswa akae home ajipambe na wewe mwanaume ukatafute kwa jasho ulete nyumbani mtumie wote, lol

Mbona wanaume wa sasa mmekua waoga sana wa maisha na kuhudumia wanawake zenu ndio maana na nyie mmeamua muanze kujifananisha nao eeh, [emoji23]
True best true ndio
 
Nawakumbusha.
Enzi za mwanamke kuhudumiwa kila kitu zilikuwepo wakati huo mwanamke ni msaidizi wa mwanaume na sio mwanaharakati ndani ya nyumba, hakukuwa na habari za haki sawa.

Haya mambo ya wanaharakati yamekuja kuharibu vitu vingi mpaka wanaume washaona haki sawa iwe mpaka kwenye kujitafutia rizki, wanawake wamekuwa wahubiri wa haki sawa lakini kwenye kuhudumiwa hawataki iwe haki sawa.

Watangulizi wetu hawakuwa wajinga ndio maana hawakuweka haki sawa wala uanaharakati
 
Nawakumbusha.
Enzi za mwanamke kuhudumiwa kila kitu zilikuwepo wakati huo mwanamke ni msaidizi wa mwanaume na sio mwanaharakati ndani ya nyumba, hakukuwa na habari za haki sawa.

Haya mambo ya wanaharakati yamekuja kuharibu vitu vingi mpaka wanaume washaona haki sawa iwe mpaka kwenye kujitafutia rizki, wanawake wamekuwa wahubiri wa haki sawa lakini kwenye kuhudumiwa hawataki iwe haki sawa.

Watangulizi wetu hawakuwa wajinga ndio maana hawakuweka haki sawa wala uanaharakati

Note: Wanaposema "HAKI SAWA" wanamaanisha kuondoa sheria zinazomkandamiza mtoto wa kike (ambazo kwa ujumla ziliishaondolewa), Shughuli ipo kwenye kudai usawa wa kijinsia (jambo hili haliwezekani mpaka mmoja afanyiwe upasuaji wa via vya uzazi ili viwe sawa na vya mwenzie). Btw Haya mambo Wanayaruhusu baadhi ya wanaume goigoi.

Ukiwa Mwanaume imara ndani ya nyumba yako kamwe mkeo hawezi kujiunga kwenye huu upuuzi wa jinsia sawa!!!
 
Note: Wanaposema "HAKI SAWA" wanamaanisha kuondoa sheria zinazomkandamiza mtoto wa kike (ambazo kwa ujumla ziliishaondolewa), Shughuli ipo kwenye kudai usawa wa kijinsia (jambo hili haliwezekani mpaka mmoja afanyiwe upasuaji wa via vya uzazi ili viwe sawa na vya mwenzie). Btw Haya mambo Wanayaruhusu baadhi ya wanaume goigoi.

Ukiwa Mwanaume imara ndani ya nyumba yako kamwe mkeo hawezi kujiunga kwenye huu upuuzi wa jinsia sawa!!!
Uko sahihi mkuu.
Kwanza sijui kwanini wanawake wanalialia mara hiki mara kile ikiwa chance zote ziko open kwa jinsia zote.
Kama ni shule mitihani inalingana, kwenye kazi nafasi ziko sawa tena wanapendelewa, kwenye siasa wana nafasi maalum lakini bado wanaamini katika kuhudumiwa kila kitu ilihali wamekuwa mabingwa wa kuongoza uanaharakati kokote waendako.

Ukitaka Uhuru uchague kujitegemea[emoji23][emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Inaonekana baba yako naye alikuwa haudumii mama yako
 
Narudia tena

Wazazi tengeni muda wa kuzungumza na watoto wenu wa kiume ili kuwajenga kuwa Wanaume hapo badae. Ona mpuuzi huyu, ulidhani uanaume ni kupiga picha tu na kupost instagram? Hata Maandiko Matakatifu hamyasomi!?
😂😂😂😂😂😂
 
Nitakua natembeza dozi kwa wake zako, kila ukiwatembelea wamechoka hawana hamu na wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi una nini wee dea, nimecheka kwa sauti hadi mbavu zinauma, afu nipo na watu lol
 
Habarini wadau,

Jamani dada zetu au wanawake siku hizi wamebadilika sana wengi wao wanawaza kupata mwanamme wa kumtimizia mahitaji yake haswa ya kimaisha. Wao wanawaza kupendeza na kuvaa vizuri kuliko kujishughulisha katika vitu vya maendeleo ndio chanzo cha kuangukia kuwa malaya na kujiuza kwani wanaume nao hatupo tayari kwa hilo zaidi tunawaza tupate wanawake ambao ni wake na mama watoto wetu.

Wadada huduma huja kwa kujihudumia
Mbona dada zetu wa kichaga ni wapambanaji sana. Huwezi kukuta wanadanga hata sekunde moja.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Back
Top Bottom