Wanawake na mawazo mgando ya kuhudumiwa

Wanawake na mawazo mgando ya kuhudumiwa

Biashara ni kuuza na kununua, ukiona biashara ipo wateja wanapatikana
 
Narudia tena

Wazazi tengeni muda wa kuzungumza na watoto wenu wa kiume ili kuwajenga kuwa Wanaume hapo badae. Ona mpuuzi huyu, ulidhani uanaume ni kupiga picha tu na kupost instagram? Hata Maandiko Matakatifu hamyasomi!?
Umeona eee, wababa wabadilike siku hizi wanaume bora niwakumulika na tochi la chana!
 
Back
Top Bottom