Wanawake ndiyo wanaongoza kuwasema vibaya wanaume mbele ya watoto

Wanawake ndiyo wanaongoza kuwasema vibaya wanaume mbele ya watoto

Mohammed wa 5

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2022
Posts
1,215
Reaction score
3,035
Habari za asubuhi, Wana JF

Hivi kwa nini wanawake mnapenda kuanika sana madhaifu yetu, mnapokuwa na watoto

Najua tupo kwenye ugomvi Mambo ya chumbani yaishie ukouko ndani, unayaleta mpaka sebuleni mbele ya watoto haipendezi watoto watajifunza nini.

Wanawake mjifunze hii tabia sio nzuri, heshima yetu inapungua kwa watoto ndo mana watoto wengi hawana upendo na baba zao. Kama nimekosea au nimekukera Jambo fulani niite chumbani tuyamalize...sio sebuleni mpaka watoto wanatushangaa
 
Bora awaeleze watoto au majirani? Mi naona Bora anayeeleza watoto inakuwa Siri ya familia.
 
Habari za asubuhi, Wana jf

Hivi kwa Nini wanawake mnapenda kuanika sana madhaifu yetu, mnapokuwa na watoto

Najua tupo kwenye ugomvi Mambo ya chumbani yaishie ukouko ndani,unayaleta mpaka sebuleni mbele ya watoto haipendezi watoto watajifunza nini.

Wanawake mjifunze hii tabia sio nzuri,heshima yetu inapungua kwa watoto ndo mana watoto wengi hawana upendo na baba zao.Kama nimekosea au nimekukera Jambo fulani niite chumbani tuyamalize..sio sebuleni mpaka watoto wanatushangaa
Pole utazoea, kuepekana na hayo jiepushe na marumbano na mkeo/mpenzi... ni sawa na kufungulia sub-woofer kisha ukalalamia sauti kubwa. Kila mara ignore, ukiona dalili za kujibizana mpuuze... huo ndo uimara wa mwanaume.
 
Huu ujumbe ungeupeleka kwa wanandoa wote bila kujali jinsia. Mbona wanaume ndio mnaongoza kutufanyia vitendo vya unyanyasaji mbele ya familia hata nje mbele ya jamii?
 
Watoto ndio kimbilio lao, hata ukijituma vipi kuhangaika kuwatafutia watoto na mke ujanani uzeeni utatengwa mama uwalisha sumu watoto baba yenu alikuwa ni mlevi tu Mimi ndio nimehangaika mkasoma.

Kiasi upo ugomvi Kati ya mwanaume na mwanamke
 
Habari za asubuhi, Wana JF

Hivi kwa nini wanawake mnapenda kuanika sana madhaifu yetu, mnapokuwa na watoto...
Wanawake wana karama ya kutoa au kupeleka habari

Ishi nao kwa akili na uwatendee mema ili wakupeleke habari njema


🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom