Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
- Thread starter
- #21
Wachache Sana mpo hiviSiwezi kufanya ujinga kama huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachache Sana mpo hiviSiwezi kufanya ujinga kama huo
Nikiona malumbano yanazidi Sana nakaa kimya au naondoka nisije nikaua burePole utazoea, kuepekana na hayo jiepushe na marumbano na mkeo/mpenzi... ni sawa na kufungulia sub-woofer kisha ukalalamia sauti kubwa. Kila mara ignore, ukiona dalili za kujibizana mpuuze... huo ndo uimara wa mwanaume.
Ukichek pembeni watoto wana washangaa tu inabid ukaushe Kwanza😁Saa zingine unatamani urushe ngumi ya mdomo ila unamuonea huruma
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hilo siwez lisema ndo mana nikasema kunihusuWachache Sana mpo hivi
Unatak ukaniombee samahani😁Umekosa kosa gani?
Ukimpiga kibao kimoja tu anaenda kwa watoto wake kuwakumbatia huku analia hapo baba unabaki dilema
Baadhi ya wanaume wasiojielewa wako hivoHuu ujumbe ungeupeleka kwa wanandoa wote bila kujali jinsia. Mbona wanaume ndio mnaongoza kutufanyia vitendo vya unyanyasaji mbele ya familia hata nje mbele ya jamii?
Nakazia mkuuWatoto wengi wanawachukia Baba zao kwasababu ya maneno ya mama zao.
IELEWEKE:
MWANAMKE NDIYE CHANZO CHA MATATIZO YOTE ULIMWENGUNI
🤣🤣🤣🤣🤣🙌Ulishajiuliza kwanini Saloon za kike hazinaga Redio?
Wambea Sana hawana kifua Cha kutunza vituNdio maana wakaitwa hawa, na kumbuka mwanaume anaweza kukaa na kitu/ jambo hata mwaka mzima, ila mwanamke akilipata usiku ataomba asubuhi ifike mapema akaliseme. Ulishajiuliza kwanini Saloon za kike hazinaga Redio?
Ndoa ni utumwa miaka yote unaangaika na familia uzeeni wanakutengaWatoto ndio kimbilio lao, hata ukijituma vipi kuhangaika kuwatafutia watoto na mke ujanani uzeeni utatengwa mama uwalisha sumu watoto baba yenu alikuwa ni mlevi tu Mimi ndio nimehangaika mkasoma.
Kiasi upo ugomvi Kati ya mwanaume na mwanamke
Tuishi nao kwa akili kweriWanawake wana karama ya kutoa au kupeleka habari
Ishi nao kwa akili na uwatendee mema ili wakupeleke habari njema
🤣🤣🤣
Zamani wakati sijazijua vizuri saloon za kike nikajua Wana wateja Sana kumbe wamejazana kupiga umbea tu na kuwasema wanaume🤣🤣🤣🤣🤣🙌
NakaziaIshini nao kwa akili.