Ndoa unufaisha wanawake, wanaume tumeumbwa matesoNdoa ni utumwa miaka yote unaangaika na familia uzeeni wanakutenga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoa unufaisha wanawake, wanaume tumeumbwa matesoNdoa ni utumwa miaka yote unaangaika na familia uzeeni wanakutenga
NDOA NI UTUMWA KWA MWANAUMETutaongea sana lakini suluhisho ni moja tu mwanamume KATAA NDOA
Halafu hizi salon za kike si wateja sio wamiliki wanajiachia sana yani mapaja nje nje. Hadi vichupi vyao wanatuonyesha.Zamani wakati sijazijua vizuri saloon za kike nikajua Wana wateja Sana kumbe wamejazana kupiga umbea tu na kuwasema wanaume
Mkuu sikupingi ni kweri kabisaWanawake wanapenda sana ku-acts kama victims ili waonewe huruma
NAKAZIANDOA NI UTUMWA KWA MWANAUME
Kwenye ndoa makosa yapo tu ata sis baba zetu wamefanya mengi tu lkn mama zetu walichagua kukaa kimyaWewe kama ni mwema hauwezi kusemwa vibaya kwa wanao.
Halafu hizi salon za kike si wateja sio wamiliki wanajiachia sana yani mapaja nje nje. Hadi vichupi vyao wanatuonyesha.
Zaidi ya kuwa salon nafikiri ni madanguro pia
Sijawahi kuona salon ya kike wanaobehave vizuri. Wamekaa kimalaya malaya tu
Sijui kwa nini? Hebu nipe uzoefu wako mkuu
Duuuh! Sikujua hiloNa saloon nyingi za kike ni za wadangaji
Ndo ziko hivyo mkuu Japo sio zoteDuuuh! Sikujua hilo
Kwamba mmiliki anakuwa mdangaji?Na saloon nyingi za kike ni za wadangaji
Iko waziKwamba mmiliki anakuwa mdangaji?
Nimesema kitaalam,Kama huna uzowefu huo bora upige kimya tu!!
huwa unaendaga na wewe?, au uliviona kwa nje hivyo vichupiHalafu hizi salon za kike si wateja sio wamiliki wanajiachia sana yani mapaja nje nje. Hadi vichupi vyao wanatuonyesha.
Wanawake mafriji yao haya gandishi na ndio maana wamenyimwa koromeo.Habari za asubuhi, Wana JF
Hivi kwa nini wanawake mnapenda kuanika sana madhaifu yetu, mnapokuwa na watoto
Najua tupo kwenye ugomvi Mambo ya chumbani yaishie ukouko ndani, unayaleta mpaka sebuleni mbele ya watoto haipendezi watoto watajifunza nini.
Wanawake mjifunze hii tabia sio nzuri, heshima yetu inapungua kwa watoto ndo mana watoto wengi hawana upendo na baba zao. Kama nimekosea au nimekukera Jambo fulani niite chumbani tuyamalize...sio sebuleni mpaka watoto wanatushangaa