Wanawake ndoa ni utii, acheni kujaza ujinga wadogo zenu

AhsaΓ±te mama umemaliza Kila kitu ,kupenda na kuhudumiwa tuwachie wao sisi tufanye yetu tunayopaswa kufanya
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman dear umechachukaaa vibayaaa.
Kweli Mimi hua nauliza kungai kaolewa?au anaishi wapi?sikurupuki na kama kaachika basi kuwe na sababu
Makungwi WA mjini mlongo mashangingi wanatafuta pesa tut,not otherwise na ukifundishwa wanachanganya humo humo kua uchit hata kidogo,Sasa hapo hakuna kufundwa Bali ni kupotoshana tu
 
Kungwi ni dadapoa
Kungwi Sagaji
Kungwi lilishashindikana nyumbani kwenye mabaraza ya Makanisa, masheikhe, na serikali za mitaa alafu kuna panyabuku wanamsikiliza
Tuna mtihani sana na hiki kizazi kinachokuja Mungu akilinde sana

Nashindwa kuelewa shida ni sisi kumsomeshwa kama wanawake au kushindwa kulinda maadili yetu na tamaduni zetu
 
Asante sana Mamy K na reymage kwa kuwambusha feminists jukumu la mke katika ndoa

[emoji122][emoji122][emoji122]
Ahsante nawe lazima tukumbushane kaka,kupotoshana tunakopotoshwa nje Ndo Kunafanya Leo taasisi ya ndoa isiwe na thamani
Leo watu Wana prefer kua single zaidi
Upotofu umepelekea wanawake Leo tukishakua na pesa tuone hakuna haja ya ndoa unatafuta mtu unazaa nae TU au pesa inatupelekesha mpk kudharau waume zetu
Mifumo ya kimagharibi imeletwa purposely kuharibu tamaduni zetu na Mila zetu

Tuambiane ukweli kama kweli tunaamini Mungu yupo
 
Na kuchukuliana pia, manake mkamilifu duniani hayupo, ukamilifu ni sifa ya Mwenyezimungu tu....kwenye mapungufu unajizima data safari inaendelea.
Sahihi kabisaa uzuri sisi tumeambiwa ndoa ni jihad yake mwanamke ,hvyo kuipambania ndoa Yako ni sadaka mradi TU usichupe mipaka
Watu hawaelewi Lau wanawake wangejua Mume alivyo na hadhi Kwa Mungu tusingekua tunasimama majukwaani nakujitapa eti nimetoa taarifa TU hanibabaishi kitu
 
Kweliii kabisa Kuna hawana kitu afu wajeuri balaa
 
Wew Tena kungwi la kimakonde [emoji23][emoji23]
Hahahaha ...usijalii shogaa!!Mzee WA kupambania kasema na kitandani pia ntakuletea WA hapo mafundi pia[emoji2][emoji3526][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Hahahaha ...usijalii shogaa!!Mzee WA kupambania kasema na kitandani pia ntakuletea WA hapo mafundi pia[emoji2][emoji3526][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Mambo si ndo hayo
 
Stupid kabisa. Mutual respect is a two way street for everyone. Km huheshimu mwanamke na yeye asikuheshimu kasirika piga kelele to hell. Bora ubaki single and alone kuliko kunyanyaswa, kubakwa, kupigwa eti kutii while yeye anacheat, anafanya uhuni wote mjini...to hell hata what your religions says; Dignity is for everybody. Km mtu hapati hadhi aondoke; msijidai hapa cjui ujeuri; it goes both way Km jeuri basi achana naye; heshima na hadhi kwa wote. Km unataka utumwa fuga mbwa hata uyo mbwa hatokutii kila kitu.
 
Umeandika kwa uchungu sana mkuu[emoji2960][emoji2960]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…