Wanawake ni viumbe wasioridhika, hakikisha asijue kipato chako

Mkuu umeandika ukiwa kwenye hali gani?
 
huyo anasumbuliwa na ulimbukeni. Bora kakuonyesha mapema maana huko mbeleni atakisumbua sana. Uamuzi ni wako kusuka au kunyoa.Watu waliotoka familia zenye maisha duni mara nyingi wana matatizo.
 
Eti mwanamke mwenye miaka 23 huyo mwanamke au mtoto?

Mwanamke anaanza kujua thamani ya ndoa above 28 huko.

Below hapo piga mbupu tembea.
Ni kweli bado huyo hajakomaa kwa level ya wanawake wa kizazi hiki. Kizazi cha zamani huyo ni mke anayejielewa tayari.
 
Piga chini huyo atakusumbua sana
 
Achana nae huyo mkuu, bila shaka huyo atakau na jini LA chuma ulete
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…