Wanawake ni wazuri wakiwa kazini

Too generalized without any gist of research or reasons for generalization. Ukiona mmoja usidhani ni wote hata first ladies au wake wa wenye nazo. Umewaza na kutoa hitimisho kimaskini mwanangu.
 
Honestly jamaa kaandika in a simple language Ila kuna kitu kikubwa sana ndani yake
 
Ukiona hivyo jamaa hajachangia hela ya Saluni.

Kwa hiyo shoo ambayo haujalipia haiwezi kukuburudisha.

Sisi wanawake ni zaidi ya mtujuavyo.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ww kwa kupenda kujipoza machungu uko vizuri Yan kila mada inayoonyesha udhaifu wenu bhac Ukija kuchangia utaleta ujuaji
 
Nimekoma.....
Ila on a serious note ujue sometime home tunapenda kujiachia?

Tusibane nywele, tuvae madera tuwe free no panties no bra za kutabana.

Kumbe wenzetu hawapendi halafu hawatuambii.

It's time we changed though. Sasa hivi tusivae zile kofia za neti ama stockings za zamani... Kuna Satin Bonnets kali mno ambazo we can still look good to our husbands while protecting our hair.

Hatuna sababu ya kulala na nightdress mbovu. Kuna night attire nzuri mno tena very affordable.

That Gentleman am I making sense now?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbadilike ili kulinda ndoa [emoji12][emoji12]
Sasa tuvae vizuri halafu niko busy na masufuria, huku mabuibui, nipangue hiki kiende kuleee jamani jamani[emoji2297][emoji2297]
Tutajikwatua mkitutoa out[emoji12]
 
Ukiona hivyo jamaa hajachangia hela ya Saluni.

Kwa hiyo shoo ambayo haujalipia haiwezi kukuburudisha.

Sisi wanawake ni zaidi ya mtujuavyo.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama najiona next weekend jmosi naamka naupara, nachomekea kisha naingia kwa kitchen kuandaa breakfast....

Kweli nami najua home ni kujiachia tu na videra kumbe ni ishu.
 
Yes communication and is the most important thing in any relationship, but why do husbands have to fight with their wives when it comes to muonekano wa KE wanapokuwa majumbani? Kama hawawezi kuthubutu kwenda makazini na visempele vyao wanavyoshinda navyo majumbani kwanini waume zao wavumilie!?
😜😜😜
Communication matters just remind her what attracted you to her at the first place
 
Kwani masufuria na kupika ni siku nzima!? 😜😜 ukimaliza si UKAUPARE hata ME akumezee mate na siyo kuwa kama house girl utadhani ni muuza njaa!? πŸƒπŸ½β€β™‚οΈπŸƒπŸ½β€β™‚οΈπŸƒπŸ½β€β™‚οΈπŸƒπŸ½β€β™‚οΈπŸƒπŸ½β€β™‚οΈπŸƒπŸ½β€β™‚οΈπŸƒπŸ½β€β™‚οΈπŸƒπŸ½β€β™‚οΈ
Sasa tuvae vizuri halafu niko busy na masufuria, huku mabuibui, nipangue hiki kiende kuleee jamani jamani[emoji2297][emoji2297]
Tutajikwatua mkitutoa out[emoji12]
 

Watakua wamesikia bila shaka
 
Ukiona hivyo jamaa hajachangia hela ya Saluni.

Kwa hiyo shoo ambayo haujalipia haiwezi kukuburudisha.

Sisi wanawake ni zaidi ya mtujuavyo.

🀣🀣🀣

Umpe mwanamke pesa ya kwenda kujikwatua asikuonyeshe?? Aaaah wapi. Lazima akuonyeshe hela ilivyotumika ili umpe tena na tena na tena...

Sasa ikiwa amejigharamia kwa mshahara wake kwanini wewe ufaidi?? Acha awafurahishe huko huko anapopata pesa ya kwenda saluni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…