Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]leo amekubali kufunzwa???@Joanah amesema amejifunza kitu
Demu much know kinyamaaa + and maneno ya shombo huyo Joanah
Feminist
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]leo amekubali kufunzwa???@Joanah amesema amejifunza kitu
Hapana subiri aje .Hahaha ni mkweli lkn.
Hao ndio wanaonikoshaga sio haya yaliojaza filler na putiKuna wanawake ni warembo sana wakiwa hawana make up, yani toto limesuka twende kilioni lakini roho yako inasuuzika.
Dame wangu hapaki make up na alishazikataa. Hapaki kucha rangi. She is humble, she cares.Kuna wanawake ni warembo sana wakiwa hawana make up, yani toto limesuka twende kilioni lakini roho yako inasuuzika.
Hivi anaechukia dera labda mkewe awe hana chura 😂😂😂 ila kwa wale wenye mizigo napendekeza dela lipigwe bila solexJamani tunafunga nywele maana haitakiwi tupike na nywele wazi zitaangukia kwa chakula jamani. Sasa kutwa nzima nimejibana nikirudi home kadera lazima kahusike mwili upumue kidogo.
dera lina raha yake aiseeHivi anaechukia dera labda mkewe awe hana chura 😂😂😂 ila kwa wale wenye mizigo napendekeza dela lipigwe bila solex
Liwe safi sasa sio linanuka uvundodera lina raha yake aisee
Oyaaa mimi simo[emoji23][emoji23]Inategemea mazingira aliyopitia haha
Labda wanaume wa Dar na pwani yote.Kuna wanaume raha yao mwanamke atumie makeups wanja, lipsticks kwa sana ndio unawakonga moyo
Ukiwa mzee baba lazma uwe na NyanyaPuza lako la kujidai nalo kihom boi! 😂😂😂Na we ukirudi home, unatupua likaputura lako utadhani mchimba kaburi, wakati ofisini unapiga suti .
Hivi nguo inanukaje uvundo jamani? kuna mambo wanawake wenzangu sijui wanakwama vipiLiwe safi sasa sio linanuka uvundo
Hawa mimi ndiyo nawahusudu sana.....kuna wanaonyoa bila makeups huwa wanapendeza sana ....mi mke wangu ananiuzi sana na yale mawigi yake na makeups.....akiyaondoaga huwa anakuwa mzuri sanaKuna wanawake ni warembo sana wakiwa hawana make up, yani toto limesuka twende kilioni lakini roho yako inasuuzika.
Kuna materials flani zikichakaa zinanuka vibaya mno! Hasa kanga kanga hiziHivi nguo inanukaje uvundo jamani? kuna mambo wanawake wenzangu sijui wanakwama vipi
Mchane tuHawa mimi ndiyo nawahusudu sana.....kuna wanaonyoa bila makeups huwa wanapendeza sana ....mi mke wangu ananiuzi sana na yale mawigi yake na makeups.....akiyaondoaga huwa anakuwa mzuri sana
uvundo hauna uhusiano na uchakavuKuna materials flani zikichakaa zinanuka vibaya mno! Hasa kanga kanga hizi