Wanawake: Nywele za sehemu za siri ni kero na karaha

Wanawake: Nywele za sehemu za siri ni kero na karaha

Unabisha bure tu hivi katika viungo vyenye hisia kichwa na kidevu unaviweka...labda unambie kama wewe hata wakikushika maeneo hupati hisia zozote, mana waxing inafanya kwa mikono hasa vidole ndo hutumika zaidi kunyofoa hizo nywele na kwa vyovyote vile lazma mkono uguse ngozi na sehemu zingine nyeti
unakera na mawazo yako ya ngono tu. ovyo. kitu ambacho sijawahi kuwaza kabisa!

kama ni sehemu za hisia hata nyuma ya kichwa karibu na shingo ni sehemu ya hisia. tena kinyozi anavyokaa kupitishapitisha shaver na mikono unapata hisia!!! acha kwenda.


narudia, hauendi kushikwashikwa unaenda kuchomolewa nywele. na sio lazima, kama unaona pamoja na maumivu yote unapata migenye isiyokuwa na mpango just don't.

of course ningekuwa na Mtu wa kunifanyia nyumbani ningefanya. nilimwombaga mama zamani akasema hawezi hiyo kazi..

mkeo mtoe na topaz. me kiwembe napitisha nikifilisika tu tena kwa masikitiko. 58k kila mwezi sio mchezo.
 
unakera na mawazo yako ya ngono tu. ovyo. kitu ambacho sijawahi kuwaza kabisa!

kama ni sehemu za hisia hata nyuma ya kichwa karibu na shingo ni sehemu ya hisia. tena kinyozi anavyokaa kupitishapitisha shaver na mikono unapata hisia!!! acha kwenda.


narudia, hauendi kushikwashikwa unaenda kuchomolewa nywele. na sio lazima, kama unaona pamoja na maumivu yote unapata migenye isiyokuwa na mpango just don't.

of course ningekuwa na Mtu wa kunifanyia nyumbani ningefanya. nilimwombaga mama zamani akasema hawezi hiyo kazi..

mkeo mtoe na topaz. me kiwembe napitisha nikifilisika tu tena kwa masikitiko. 58k kila mwezi sio mchezo.
Hongera..ila si kila anaekupinga anamawazo ya ngono na nimeongea hvyo kwa kushuhudia kesi 2 za Mke na mume mpaka ikafika kwa mmiliki wa saloon sababu ni hiyo kitu..afu na siyo kila mume anaemnyoa mkewe anashinda mudu hizo gharama kama ulivyoainisha na pia nampa hongera mama ako kwa kukataa kukufanya hiyo kitu mana kaonyesha ni vipi mwanamke wa kiafrika awe na alisema hawezi makusudi tu mana angekuwa hakufundishi bali anakuharibu..nakuombea umpate mtu wako atakae kufanya hvyo na utafurahi pia mana si wote tunatumia topaz kama unavyofikiri.
 
Naitumia kwa dharura lakini siipendi kwa mwaka labda mara 1 lakini most of the time natumia ile ya sukari,hii
nikitumia week2 nyingi nywele zinaota tena kwa kasi,lakini nzuri chukua jaribu sio mbaya...
Hii kazi unaifanyia wapi? Ni my husband wako anafanya au unaenda saloon? How does my husband wako feel kama unaenda kufanya huko saloon?
 
Hii kazi unaifanyia wapi? Ni my husband wako anafanya au unaenda saloon? How does my husband wako feel kama unaenda kufanya huko saloon?
Yeye namfanyia lakini mimi sipendi sanaaa anifanyie sababu waxing ya sukari kama hujampata mzoefu unaumia sana na pia
kuna vitu vyengine napenda nifanye aje aone tuu tayari, waxing yuko dada anakuja nyumbani kunifanyia ....
 
Hongera..ila si kila anaekupinga anamawazo ya ngono na nimeongea hvyo kwa kushuhudia kesi 2 za Mke na mume mpaka ikafika kwa mmiliki wa saloon sababu ni hiyo kitu..afu na siyo kila mume anaemnyoa mkewe anashinda mudu hizo gharama kama ulivyoainisha na pia nampa hongera mama ako kwa kukataa kukufanya hiyo kitu mana kaonyesha ni vipi mwanamke wa kiafrika awe na alisema hawezi makusudi tu mana angekuwa hakufundishi bali anakuharibu..nakuombea umpate mtu wako atakae kufanya hvyo na utafurahi pia mana si wote tunatumia topaz kama unavyofikiri.

kwahiyo hizo kesi ilikuwaje wake walienda kusagana na maBeautician au!!?
uongo mtupu!

watu wana wax kwasababu ni bora kuliko kunyoa. nyewele zinachelewa kuota. panakuwa laini. no vipele. inapunguza weusi. kama mumeo anaweza kukuwax ni vizuri kuSave hela.

wengine tunasindikizwa spa, anabaki lounge. tukimaliza anasema wanawake mna kazi!! EVERY SINGLE TIME!!

halafu nyie mnaojidaigi na uafrika huwa nawashangaa sana. ndo nyie mnadai kujua kuvaa kwa heshima kuliko waliowaletea hizo nguo.

KWA TAARIFA YAKO, mama ndo alinitafutiaga salon ya kuwax na ndo alikuwa wa kwanza kunilipia.

sio kila Mtu anaweza kukuwax, kama vile wengine hawawezi kukuchoma sindano.
 
Yani hiyo ya sukari ndio hata picha nayo sina nabaki njia panda
Nenda ma saloon makubwa arusha haswa za wahindi ndio hufanya izo huduma .. Hutojuta ukifanya wax utakaa hata miezi miwili bila kuota
 
kwahiyo hizo kesi ilikuwaje wake walienda kusagana na maBeautician au!!?
uongo mtupu!

watu wana wax kwasababu ni bora kuliko kunyoa. nyewele zinachelewa kuota. panakuwa laini. no vipele. inapunguza weusi. kama mumeo anaweza kukuwax ni vizuri kuSave hela.

wengine tunasindikizwa spa, anabaki lounge. tukimaliza anasema wanawake mna kazi!! EVERY SINGLE TIME!!

halafu nyie mnaojidaigi na uafrika huwa nawashangaa sana. ndo nyie mnadai kujua kuvaa kwa heshima kuliko waliowaletea hizo nguo.

KWA TAARIFA YAKO, mama ndo alinitafutiaga salon ya kuwax na ndo alikuwa wa kwanza kunilipia.

sio kila Mtu anaweza kukuwax, kama vile wengine hawawezi kukuchoma sindano.
Wax haina mpinzani jamani sehemu za Siri zinakua lainiiii
 
unakera na mawazo yako ya ngono tu. ovyo. kitu ambacho sijawahi kuwaza kabisa!

kama ni sehemu za hisia hata nyuma ya kichwa karibu na shingo ni sehemu ya hisia. tena kinyozi anavyokaa kupitishapitisha shaver na mikono unapata hisia!!! acha kwenda.


narudia, hauendi kushikwashikwa unaenda kuchomolewa nywele. na sio lazima, kama unaona pamoja na maumivu yote unapata migenye isiyokuwa na mpango just don't.

of course ningekuwa na Mtu wa kunifanyia nyumbani ningefanya. nilimwombaga mama zamani akasema hawezi hiyo kazi..

mkeo mtoe na topaz. me kiwembe napitisha nikifilisika tu tena kwa masikitiko. 58k kila mwezi sio mchezo.
Weeee inauma kumbe[emoji134]
 
Weeee inauma kumbe[emoji134]
haha inauma lakini inavumilikaaa!!!

huko chini ndo kunauma kuliko kote. kwenye mikono ndo least painful.

Mara ya kwanza utasema sirudi tenaaa lakini utarudi tu. its addictive.
 
Mi mshamba hadi naona aibu. Yaani waaaaa unachanua miguu halafu mdada sijui mkaka anakuhudumia humo? Na wale ambao hizi nywele zimeeksitendi mpaka kwenye mfereji wa makalio inabidi ahudumiwe na watu watatu. Mmoja anashikilia la huku mwingine la huku mwingine anawaksi! lol. Kama kuna anayefahamu saluni wanayosuka hizo nywele anifahamishe nami nikarembwe jamani japo mwanzo mgumu. Kipara sipendezi.
 
Mi mshamba hadi naona aibu. Yaani waaaaa unachanua miguu halafu mdada sijui mkaka anakuhudumia humo? Na wale ambao hizi nywele zimeeksitendi mpaka kwenye mfereji wa makalio inabidi ahudumiwe na watu watatu. Mmoja anashikilia la huku mwingine la huku mwingine anawaksi! lol. Kama kuna anayefahamu saluni wanayosuka hizo nywele anifahamishe nami nikarembwe jamani japo mwanzo mgumu. Kipara sipendezi.
Ha haaa yako mpya hii
 
haha inauma lakini inavumilikaaa!!!

huko chini ndo kunauma kuliko kote. kwenye mikono ndo least painful.

Mara ya kwanza utasema sirudi tenaaa lakini utarudi tu. its addictive.
Uwiii naogopa bana mwenzio!
 
Back
Top Bottom