Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
- Thread starter
- #41
Point of correction,turud kweny mada mkuuUnammiliki vipi binadamu mwenzako?
Amandla...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point of correction,turud kweny mada mkuuUnammiliki vipi binadamu mwenzako?
Amandla...
Wapuuzi hao.Kama unaweza,kamata uwakung'unte makofi waache ujinga.N
Na wanaogombania mwanamke mmoja kisa pisi kali ,Ina maan hawawaoni wengine ama?
Bhas kw uelewa wako ni kua "Pisi kali" ni kama "misimu" tu wanawake ni wale waleWapuuzi hao.Kama unaweza,kamata uwakung'unte makofi waache ujinga.
Swadakta!Mzuri ni yule uliyemkubali weye.Asikuchagulie mtu.B
Bhas kw uelewa wako ni kua "Pisi kali" ni kama "misimu" tu wanawake ni wale wale
Exactly mkuu ,bila shaka unae pisi kali hongeraSwadakta!Mzuri ni yule uliyemkubali weye.Asikuchagulie mtu.
pis kali ukiikuta hadi kimaumbile ndani ipo vizuri ukakesha nayo, unajikuta asubuhi umepiga goli 12 bila kuchoka.Kumekuwa na wimbi la vijana wengi wanatamani kudate na pisi kali kila iitwapo leo. Mtupe ujuzi je, hawa pisi kali wana ubora upi na sifa zipi ukilinganisha na hawa wengne kwenye sekta ya mapenzi?
Namkubali sana.Hata akisikia nimekunywa wanzuki hadi sioni vizuri ni dakika mbili tu amefika kunichukua limpenzi lake liaminifu.Exactly mkuu ,bila shaka unae pisi kali hongera
Hapa Kuna ukweli japo sio asilimia zote,Ina maan kua na pisi kali ni vibaya au inategemea na mtindo wa maisha?Pisi kali ni mdada wa kisasa mwenye mambo mengi. Vipuli mwili mzima, tamaa, mtu wa mutandao na mwenye kushindana na dunia yaani dunia ikisema kuvaa chupi ni ushamba yeye kesho havai... anajizingatia kuteka wanaume. Kuhusu utofauti sijui kama upo kwa sasa maana asilimia kubwa dunia ya sasa mabinti karibu wote ni pisi kali tu
Umeona kitu hapo mkuu, kugongewa ni sekunde zero
- kugongewa
Mwanaume yoyote anazitomba akiamua
- pisi kali hazina mapenzi ya kweli
Hapo ndio umepigilia msumali wa mwisho mkuu ila kuna point moja umeiacha
- hawana focus ya maisha
Kwa vigezo gani sio pisi?Wengi wange fall uyo wa kulia .kwann ? Matamanio ila kwa vigezo sio pisi Wala labda tuone wakuu Wana mtazamo gani
Kwann hujapenda? Mimi ndo nilimpiga au yeye ndo aliziweka mtandaon?Sijapenda kwakweli,utatumaje picha ya mtu ninaemfaham!