Wanawake pisi kali wana tofauti gani na hawa wengine kwenye mapenzi?

Kumekuwa na wimbi la vijana wengi wanatamani kudate na pisi kali kila iitwapo leo. Mtupe ujuzi je, hawa pisi kali wana ubora upi na sifa zipi ukilinganisha na hawa wengne kwenye sekta ya mapenzi?
pis kali ukiikuta hadi kimaumbile ndani ipo vizuri ukakesha nayo, unajikuta asubuhi umepiga goli 12 bila kuchoka.
 
Hapa Kuna ukweli japo sio asilimia zote,Ina maan kua na pisi kali ni vibaya au inategemea na mtindo wa maisha?
 
  • kugongewa
Umeona kitu hapo mkuu, kugongewa ni sekunde zero
  • pisi kali hazina mapenzi ya kweli
Mwanaume yoyote anazitomba akiamua
  • hawana focus ya maisha
Hapo ndio umepigilia msumali wa mwisho mkuu ila kuna point moja umeiacha

  • wakichoka na kuchakaa basi wanapauka, wanafubaa na wanachakaa kweli kweli kitu bongonyo hakieleweki fogo sio fogo na Pajero sport sio kirikuu

Nakaziaa mkuu..

Nitakuja tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…