Wanawake punguzeni kuomba omba hela

Wanawake punguzeni kuomba omba hela

WANAWAKE WA KICHAGA RAHASANAAAAAAA HAWANA MBOMBOOO WEE.MPEE HAKIYAKE TU KITANDANI MNGINE MWACHIE YEEYE SWABAHANA WAPE HERI WATOTO WA KICHAGA WALEE VYEMA WAUME ZAOO
Wachaga ninawajua mimi au kuna wengine aisee
 
Hello.

Watoto wa kike punguzeni tamaa ya hela. Hela tuliyopanga kununua kiwanja kweli unataka kununua iPhone macho matatum?

Tunajua hela hakuna ila hadi vocha ya buku ya kuomba jamani? Dhiki tunajua ipo jamani sio kitu cha kukiendekeza kabisa.

Now days imekuwa ngumu kumtofautisha ombaomba na mdada muomba hela.

Mbadilike.

Tena vinaandikaka hivi "bebi aomba hela ya kula" kama havina meno mdomoni
Wanawake wa skuizi ni makahaba wapo kwaajili ya pesa, yani toa pesa nikupe mzigo. Wote ni wauza k, wamebakiza tuu kusimama barabarani usiku na kuuza k live kama baadhi ya wenzao wanavofanya.
 
Demu wa chuo nilikutana nae ndani ya mwezi mmoja kashanipa mizinga kama ya laki 3 nikasema hili bomu tayari lakini wenyewe wanasema hyo njia wanatumia kuwapunguza na kuwafukuza wanaume wasio wataka
 
WANAWAKE WA KICHAGA RAHASANAAAAAAA HAWANA MBOMBOOO WEE.MPEE HAKIYAKE TU KITANDANI MNGINE MWACHIE YEEYE SWABAHANA WAPE HERI WATOTO WA KICHAGA WALEE VYEMA WAUME ZAOO
Kwa kuua wanaume hao Bora hata hao wanaomba hela kuliko hawa wachaga labda nisijue kama mchaga nakimbia sigeuki nyuma
 
Sema hawako straight. Mtu anaomba 1000/= kumbe anamaanisha laki.

Anaomba ya vocha, ukimuuliza ya shingapi? anasema yoyote utakayoona. Sasa mimi nitajuaje matumizi yake binafsi kama sio kuchoshana kichwa. Kumbe anamaanisha hela ya kuspend.

Kiukweli, mimi ukiniomba ya vocha, nitakwangua vocha nikutumie! 😅

Ukiniomba buku, nakupa jero halafu jero baadaye! 🙌🏾

Tusichoshane vichwa! 😁
 
Noblewoman hatutaki hela zenu, hizo zikawasaidie mama zenu wazazi na ndugu zenu. Maana wanaume wengi mnashindwa kusaidia wazazi wenu sababu ya kujionyesha ufahari kwa wanawake. Hela hamna kazi kujitutumua tu huku mnaumia
ilo nalo neno
 
Hello.

Watoto wa kike punguzeni tamaa ya hela. Hela tuliyopanga kununua kiwanja kweli unataka kununua iPhone macho matatum?

Tunajua hela hakuna ila hadi vocha ya buku ya kuomba jamani? Dhiki tunajua ipo jamani sio kitu cha kukiendekeza kabisa.

Now days imekuwa ngumu kumtofautisha ombaomba na mdada muomba hela.

Mbadilike.

Tena vinaandikaka hivi "bebi aomba hela ya kula" kama havina meno mdomoni
Kuna kengine haka
Screenshot_20230204_103834_Messages.jpg
 
Hello.

Watoto wa kike punguzeni tamaa ya hela. Hela tuliyopanga kununua kiwanja kweli unataka kununua iPhone macho matatum?

Tunajua hela hakuna ila hadi vocha ya buku ya kuomba jamani? Dhiki tunajua ipo jamani sio kitu cha kukiendekeza kabisa.

Now days imekuwa ngumu kumtofautisha ombaomba na mdada muomba hela.

Mbadilike.

Tena vinaandikaka hivi "bebi aomba hela ya kula" kama havina meno mdomoni
Na wewe muombe tiGo
 
Back
Top Bottom