Wanawake punguzeni kuomba omba hela

Wanawake punguzeni kuomba omba hela

Toa pesa huwezi Nunua malaya mmalizane apo apo tuache lawama na mada za hovyo kla sku huwezi kutoa pesa wacha wwnzio watatoa ww tafta malaya kahaba lipa pesa fanya yako tembea
 
Watu nawaambia humu kama wanaona wanasumbuliwa wadada wanataka hela si waachane nao? Hawataki ila kutwa kufungua manyuzi humu .

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipenda mdada jiandae kuhudumia hila mm naangalia nimekupata mazingira gani kama bar uwezi kupata ata 50000 na kutokana na bar hazi yake lakini mdada unakutana nae seaclif uyo unajua huwezi kusumbuana nae sana kukuomba hela nadra sana mpaka unaona aibu unatuma tu ata ka laki anunue mboga lakini mdada umekutana nae kitambaa cheupe 20000 inatosha sana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1675][emoji1675]Mtu unapitia mengi ila kulia lia mtandaoni for unnecessary reasons haipendezi.

Mda mwingine ni kama kukalibisha madanga wakudangie mwishowe wakuache huna pesa mpende mwanamke mwenye manufaa walau ukimwambia mamy nimekwama hapa nataka kutengeneza gari nipe laki tano naludisha next week anakutumia laki sita anakwambia hiyo nyingine weka mfukoni baba unaweza ukakuta vifaa vimepanda bei

Sasa ww unaenda kupenda jobless what next si makasiriko kila siku anataka muwe mnachati mda wote kama huduma kwa wateja
 
Hello.

Watoto wa kike punguzeni tamaa ya hela. Hela tuliyopanga kununua kiwanja kweli unataka kununua iPhone macho matatum?

Tunajua hela hakuna ila hadi vocha ya buku ya kuomba jamani? Dhiki tunajua ipo jamani sio kitu cha kukiendekeza kabisa.

Now days imekuwa ngumu kumtofautisha ombaomba na mdada muomba hela.

Mbadilike.

Tena vinaandikaka hivi "bebi aomba hela ya kula" kama havina meno mdomoni
Huwa wanakuomba kwa Kukulazimisha?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Wao washazoea kitonga

Kuna jamaa mmoja nilimpa namba ta dem wa kishua yeye anakaa mbagara dem kakubali waonane nikampanga vaa vizur be smart sio kama hivyo
Nikasikia anasema bobu umsart wanini mimi nataka utelezi tu

Haya mtu kama huyu unaweza mueleweshaje na hapo chinu kavaa all star zimepauka rangi na ndio anaenda kumeet na mchumba?
 
Wanawake tunahitaji sana financial freedom. Kwa namna moja au nyingine Comment yako imemtukana hadi mama yako mzazi
Kama mnataka financial freedom ndo mpambane to have enough income to cover your living expenses and of your beloved ones.

Sio mnakaa mnasubiri wanaume wawaletee.

My beloved mom is an independent woman she got her own thing enough cash flow to pay the bills
 
Back
Top Bottom