Wanawake punguzeni kuomba omba hela

Wanawake punguzeni kuomba omba hela

Hapa ndo utajua wengi ni wavulana tu 😁😁 hawaji ng'oo

Mtu unapendaje utelezi bila kugharamia? Kazi tu "ooh demi nimekuhamu" mwaga minoti unihamu vizuri 😁😁
Wanajua wenyewe maana wanaume wanaotoa hela wapo na wataendea kuwepo. Kila mtu ale alipopeleka mboga
 
Wao washazoea kitonga

Kuna jamaa mmoja nilimpa namba ta dem wa kishua yeye anakaa mbagara dem kakubali waonane nikampanga vaa vizur be smart sio kama hivyo
Nikasikia anasema bobu umsart wanini mimi nataka utelezi tu

Haya mtu kama huyu unaweza mueleweshaje na hapo chinu kavaa all star zimepauka rangi na ndio anaenda kumeet na mchumba?
Muazime pamba mkali
 
View attachment 2504331
At your age of 50s, juzi ulikuwa kwenu Moshi msibani, kazi yako ilikuwa kununuliwa tu pombe, hela hadi mwanamke wako aamue yeye kukupa. Na kwa ulevi wako kila wakati uko njwii, baba zima unaweka double kick kwenye chupa ya K Vant.

Mbezi Beach yote ni wewe unayetutia aibu. Jirekebishe
Huu mtanange ni mkali,nani kala K.O?

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Hello.

Watoto wa kike punguzeni tamaa ya hela. Hela tuliyopanga kununua kiwanja kweli unataka kununua iPhone macho matatum?

Tunajua hela hakuna ila hadi vocha ya buku ya kuomba jamani? Dhiki tunajua ipo jamani sio kitu cha kukiendekeza kabisa.

Now days imekuwa ngumu kumtofautisha ombaomba na mdada muomba hela.

Mbadilike.

Tena vinaandikaka hivi "bebi aomba hela ya kula" kama havina meno mdomoni
Hawawezi kukuelewa 😂 😂😂
 
Kuna demu moja jana nimelikumbuka nikaona nilipigie kulisalimia, baada ya kukata simu tu, inaingia text nywele zake ni chafu anaomba hela akasafishe.
 
Watu kama wewe mnaowadanganya hawa mabinti hamjielewi.

Na mmesababisha hawa mabinti kuamini kwenye mapenzi kunalipa kuliko kufanya kazi.

Leo hii tunawahitimu wa vyuo ambao mawazo yao ni kupata danga limnunulie Iphone kali, limpangishie nyumba nzuri n.k nasio kutumia maarifa waliyonayo kujitegemea.

Mnawadanganya hawa mabinti, sasa wamekuwa makahaba kwa kigezo cha kutafuta wanaume wenye pesa nasio kufanya kazi wajitegemee. Ili apate pesa nyingi inamlazimu kuwa na wanaume wengi.

Binti akitoa penzi apewe penzi nasio atoe penzi apewe penzi na Pesa.

Moja wapo ya vitu vinatufanya tuendelee kuwa masikini ni pamoja na hili, kuna kundi linaweza kufanya kazi na kuzalisha ila limegeuka kundi tegemezi, lenye tabia za kimalaya malaya limekuwa ombaomba.

Tukiendelea kushabikia huu ujinga tutakuwa na Taifa la washenzi wanaowekeza kwenye kujipodoa, kufuga kucha na mawigi, kutoa mimba wakiamini watapata nyumba na magari.

Wahimizeni wanawake wafanye kazi ili wasigeuze mahusiano kuwa kitega uchumi
Umeeleweka ila iweje uniweke kundi la kimalaya malaya
 
Waache kutongoza vitoto, jobless itawasaidia....videnti vinaomba sana hela nikubadiri mfumo,eiza watafute mashangazi au wakanunue madabwada
Hata wenye kazi nao wanaomba sikuizi
 
Umeeleweka ila iweje uniweke kundi la kimalaya malaya
Ooh, Hapana mkuu sijakuweka kwenye kundi la malaya,

Nimemaanisha baadhi ya wanawake wamekuwa na tabia za kimalaya Malaya.
 
WANAWAKE WA KICHAGA RAHASANAAAAAAA HAWANA MBOMBOOO WEE.MPEE HAKIYAKE TU KITANDANI MNGINE MWACHIE YEEYE SWABAHANA WAPE HERI WATOTO WA KICHAGA WALEE VYEMA WAUME ZAOO
 
KUNAMAKABILA HATAWAWE NA MIL 80 WATAOMBA TU YAAN HAWA MADADA WANA NYOTAA YA UOMBAJIIII BALAAA SO MUHIMU MKAJUA MAKABILA YAPI HAYANA USUMBUFU .....
 
Back
Top Bottom