Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,805
- 17,850
Joined January 30, 2023 na tayari una nyuzi 200[emoji1332]
Mwana punguza speed.
View attachment 2504564
Mwana punguza speed.
View attachment 2504564
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhiki dhiki zimewajaa wanawake wa sasa.Jaman kila leo tunasema humu wee unaona wanawake wanakuzonga wanataka hela si uachane nao shida ipo wapi? Mbona wengi mnapenda kujiletea mastress kumbe unaweza ukaamua kukaa mwenyewe na maisha yakasonga bila kugombezana na watu, jipeni amani kataeni omba omba wakatafute wanaowezana nao nyie pambaneni na hali zenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika🤣🤣🤣 kama hana akae kmya wengine wanatoa hawaoni kero.Umasikini wako ndio umekufikisha hapo
🤣🤣🤣Acheni wenye hela watoe.
Nyie wa kubet subirini mpaka mziotee nyingi
Atafute pesa, manenos mengi ni keleleJoined January 30, 2023 na tayari una nyuzi 200[emoji1332]
Mwana punguza speed.
View attachment 2504564
Eehe kumekuchaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2504331
At your age of 50s, juzi ulikuwa kwenu Moshi msibani, kazi yako ilikuwa kununuliwa tu pombe, hela hadi mwanamke wako aamue yeye kukupa. Na kwa ulevi wako kila wakati uko njwii, baba zima unaweka double kick kwenye chupa ya K Vant.
Mbezi Beach yote ni wewe unayetutia aibu. Jirekebishe
Na wewe kwa nini utongoze wenye njaa matajiri wenzako huwaoni?Dhiki dhiki zimewajaa wanawake wa sasa.
Njaa njaa zitawamaliza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waache kutongoza vitoto, jobless itawasaidia....videnti vinaomba sana hela nikubadiri mfumo,eiza watafute mashangazi au wakanunue madabwada
Umeamua kujitetea mrembo
Boraa uwaambie hawa watu.Boss, Hii sio rahisi. Penzi lina matokeo mengi, na maandalizi yake yana gharama. Siku hizi wanachofanya anayehitaji ndiye anagharamia. Kuna wanaume wanalelewa kabisa.
,[emoji23][emoji23][emoji23] nawaambiaga watu humu sio pa kujishaua kuna watu wanatujua nje ya hapa ooh wengi hawaelewag. Kuna watu wanajishaua humu jaman ukija jua maisha yao huko nje unabaki mdomo wazi hahaaEehe kumekuchaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakika[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama hana akae kmya wengine wanatoa hawaoni kero.
Watu nawaambia humu kama wanaona wanasumbuliwa wadada wanataka hela si waachane nao? Hawataki ila kutwa kufungua manyuzi humu .Kama una pesa kutoa 60000 huoni kazi acha wenye pesa tufaidi