Wanawake punguzeni kuomba omba hela

Wanawake punguzeni kuomba omba hela

Jitahidi uwe na nyota ya kuleaaa....
Sibebi wajinga wajingaa
Screenshot_20230203-035040_Chrome.jpg

At your age of 50s, juzi ulikuwa kwenu Moshi msibani, kazi yako ilikuwa kununuliwa tu pombe, hela hadi mwanamke wako aamue yeye kukupa. Na kwa ulevi wako kila wakati uko njwii, baba zima unaweka double kick kwenye chupa ya K Vant.

Mbezi Beach yote ni wewe unayetutia aibu. Jirekebishe
 
Noblewoman hatutaki hela zenu, hizo zikawasaidie mama zenu wazazi na ndugu zenu. Maana wanaume wengi mnashindwa kusaidia wazazi wenu sababu ya kujionyesha ufahari kwa wanawake. Hela hamna kazi kujitutumua tu huku mnaumia
Hizo Hela wanazowahonga wanaume ndiyo zinawawezesha kuwasaidia wazazi, ndiyo maana tumewaachia Hilo jukumu 😂😂😂, kwangu Hilo jukumu ni la dada kwa pesa anazohongwa huko so equation balanced
 
Waache kutongoza vitoto, jobless itawasaidia....videnti vinaomba sana hela nikubadiri mfumo,eiza watafute mashangazi au wakanunue madabwada
 
Habari ndiyo hiyo, madogo kelele zimekuwa nyingi, mkiombwa hela kidogo tu mnakuwa wakali kama nyuki.

Hela yenyewe inayokutoa mapovu utakuta ni buku 10 au 50, au laki, lakini utalalamika usiku kucha na mchana kutwa.

Mademu hawa, hamna anayekuomba umnunulie kiwanja wala umjengee nyumba, wao wanataka tu hela ya saluni, ikizidi sana watataka hela ya simu.

Kama unajikuta huna hela za kumtosheleza mwanamke usitongoze, wala usiombe papuchi tuachie wenye hela za kuhonga tuvimbe. Wee nenda kwa mademu zenu wa buku 3 ambao hawana mizinga wala nini, wanauza mbunye.

Hizi toto za kitaa zimekushinda.

Vizuri hugharamiwa!
Kama buku 10 ni ndogo kwanini sasa wazazi wako wasikupe?
 
Habari ndiyo hiyo, madogo kelele zimekuwa nyingi, mkiombwa hela kidogo tu mnakuwa wakali kama nyuki.

Hela yenyewe inayokutoa mapovu utakuta ni buku 10 au 50, au laki, lakini utalalamika usiku kucha na mchana kutwa.

Mademu hawa, hamna anayekuomba umnunulie kiwanja wala umjengee nyumba, wao wanataka tu hela ya saluni, ikizidi sana watataka hela ya simu.

Kama unajikuta huna hela za kumtosheleza mwanamke usitongoze, wala usiombe papuchi tuachie wenye hela za kuhonga tuvimbe. Wee nenda kwa mademu zenu wa buku 3 ambao hawana mizinga wala nini, wanauza mbunye.

Hizi toto za kitaa zimekushinda.

Vizuri hugharamiwa!
Ni kweli mkuu kila mtu akae na chake.
 
Habari ndiyo hiyo, madogo kelele zimekuwa nyingi, mkiombwa hela kidogo tu mnakuwa wakali kama nyuki.

Hela yenyewe inayokutoa mapovu utakuta ni buku 10 au 50, au laki, lakini utalalamika usiku kucha na mchana kutwa.

Mademu hawa, hamna anayekuomba umnunulie kiwanja wala umjengee nyumba, wao wanataka tu hela ya saluni, ikizidi sana watataka hela ya simu.

Kama unajikuta huna hela za kumtosheleza mwanamke usitongoze, wala usiombe papuchi tuachie wenye hela za kuhonga tuvimbe. Wee nenda kwa mademu zenu wa buku 3 ambao hawana mizinga wala nini, wanauza mbunye.

Hizi toto za kitaa zimekushinda.

Vizuri hugharamiwa!
Chakula pandwa nani atupe.

Tutatongoza watakoa tupa bila kuomba hela tunaendanao.

Wale tuma na kutoleaa sijui umeme umeisha sijui gasi imeisha sijui sina vocha.

Wala tunawablook
 
Hello.

Watoto wa kike punguzeni tamaa ya hela. Hela tuliyopanga kununua kiwanja kweli unataka kununua iPhone macho matatum?

Tunajua hela hakuna ila hadi vocha ya buku ya kuomba jamani? Dhiki tunajua ipo jamani sio kitu cha kukiendekeza kabisa.

Now days imekuwa ngumu kumtofautisha ombaomba na mdada muomba hela.

Mbadilike.
Hakuna kitu kinanishangaza mimi kama mwanamme kumnunulia mwanamke simu ya gharama ikiwa hana umuhimu wowote kwake zaidi ya kumgonga tu. Utakuta mwanamke kama Kajaka, hana ishu yoyote hapa mjini zaidi ya kujiuza mitandaoni eti unajitoa muhanga na kumunulia simu au gari for what?
 
Habari ndiyo hiyo, madogo kelele zimekuwa nyingi, mkiombwa hela kidogo tu mnakuwa wakali kama nyuki.

Hela yenyewe inayokutoa mapovu utakuta ni buku 10 au 50, au laki, lakini utalalamika usiku kucha na mchana kutwa.

Mademu hawa, hamna anayekuomba umnunulie kiwanja wala umjengee nyumba, wao wanataka tu hela ya saluni, ikizidi sana watataka hela ya simu.

Kama unajikuta huna hela za kumtosheleza mwanamke usitongoze, wala usiombe papuchi tuachie wenye hela za kuhonga tuvimbe. Wee nenda kwa mademu zenu wa buku 3 ambao hawana mizinga wala nini, wanauza mbunye.

Hizi toto za kitaa zimekushinda.

Vizuri hugharamiwa!
Uende kununua wa buku 3 uwe fundi wa kuonga hizo 10k, 50k au 100k wote tunanunua malaya.

Hao wa kitaa wamejificha kwenye kivuli cha KUHUDUMIWA ila nao ni malaya tu indirectly

Hata huyo wa buku 3 huko mtaani kwake wapo wanaomuonga hizo 10k, 30k, 50k

Maisha ni mvuragano wewe fanya kilicho ndani ya uwezo wako ili mradi usuuze rungu
 
Kuna intervening variables nyingi sana zinazosababisha wanaume kutongoza ukiachana na suala la kutoa hela
 
Uende kununua wa buku 3 uwe fundi wa kuonga hizo 10k, 50k au 100k wote tunanunua malaya.

Hao wa kitaa wamejificha kwenye kivuli cha KUHUDUMIWA ila nao ni malaya tu indirectly

Hata huyo wa buku 3 huko mtaani kwake wapo wanaomuonga hizo 10k, 30k, 50k

Maisha ni mvuragano wewe fanya kilicho ndani ya uwezo wako ili mradi usuuze rungu
🤣 Nakazia 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Binti akitoa penzi apewe penzi nasio atoe penzi apewe penzi na Pesa.
Boss, Hii sio rahisi. Penzi lina matokeo mengi, na maandalizi yake yana gharama. Siku hizi wanachofanya anayehitaji ndiye anagharamia. Kuna wanaume wanalelewa kabisa.
 
Nitagharamia demu ambaye najua naweza songa nae kwa muda mrefu! Sasa wewe one night stand kweli nihonge hadi kiwanja,gari, sijui kwenda vacay dubai?? Hapana! Hizi nitafanya kwa wife wangu tu! Maana kwake nakula mbususu hata kama sina mia mfukoni
 
Madem hawana aibu kama wamba tu .mtu anaweza kuomba hela asubuhi ukampa na jion akaomba tena .wamejaa shida binafsi saiv siwezi kua na dem alie jaa shida tu kila siku
 
Back
Top Bottom