Wanawake punguzeni kuomba omba hela

Wanawake punguzeni kuomba omba hela

Na wewe acha kuombaomba uchi. Hamna mwanamke atakaye kuomba hela kama hujamuomba uchi

Kwan wenyewe hawana hisia? raha tunapata wanaume tu? Aisee wapunguze kutuuzia ndo mana wana nyanyaswa sanaa
 
Habari ndiyo hiyo, madogo kelele zimekuwa nyingi, mkiombwa hela kidogo tu mnakuwa wakali kama nyuki.

Hela yenyewe inayokutoa mapovu utakuta ni buku 10 au 50, au laki, lakini utalalamika usiku kucha na mchana kutwa.

Mademu hawa, hamna anayekuomba umnunulie kiwanja wala umjengee nyumba, wao wanataka tu hela ya saluni, ikizidi sana watataka hela ya simu.

Kama unajikuta huna hela za kumtosheleza mwanamke usitongoze, wala usiombe papuchi tuachie wenye hela za kuhonga tuvimbe. Wee nenda kwa mademu zenu wa buku 3 ambao hawana mizinga wala nini, wanauza mbunye.

Hizi toto za kitaa zimekushinda.

Vizuri hugharamiwa!
Pointless.

Kwani nani anatongoza dunia ya sasa wanawake wako kimaslahi
 
Uende kununua wa buku 3 uwe fundi wa kuonga hizo 10k, 50k au 100k wote tunanunua malaya.

Hao wa kitaa wamejificha kwenye kivuli cha KUHUDUMIWA ila nao ni malaya tu indirectly

Hata huyo wa buku 3 huko mtaani kwake wapo wanaomuonga hizo 10k, 30k, 50k

Maisha ni mvuragano wewe fanya kilicho ndani ya uwezo wako ili mradi usuuze rungu
Wanawake tunahitaji sana financial freedom. Kwa namna moja au nyingine Comment yako imemtukana hadi mama yako mzazi
 
Habari ndiyo hiyo, madogo kelele zimekuwa nyingi, mkiombwa hela kidogo tu mnakuwa wakali kama nyuki.

Hela yenyewe inayokutoa mapovu utakuta ni buku 10 au 50, au laki, lakini utalalamika usiku kucha na mchana kutwa.

Mademu hawa, hamna anayekuomba umnunulie kiwanja wala umjengee nyumba, wao wanataka tu hela ya saluni, ikizidi sana watataka hela ya simu.

Kama unajikuta huna hela za kumtosheleza mwanamke usitongoze, wala usiombe papuchi tuachie wenye hela za kuhonga tuvimbe. Wee nenda kwa mademu zenu wa buku 3 ambao hawana mizinga wala nini, wanauza mbunye.

Hizi toto za kitaa zimekushinda.

Vizuri hugharamiwa!
Umeandika ushubwadu.

Wala hauna Hela yoyote unajimwambafai tu
 
Habari,

Hakuna mwanaume anayeweza kumaliza shida zote katika ukoo wako.

Wanawake wa sasa wanapenda sana hela.

Hapohapo kijana wa watu anayejitafuta bado wanataka mara ajenge kwao mwanamke,sijui amsaidie baba mkwe hela ya nini ,mara mdogo wangu kaishiwa ada.

Kiukweli hakuna mwanaume wa kumaliza shida zako zote.

Jiongezee muache usumbufu.
 
Back
Top Bottom