Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!View attachment 2504331
At your age of 50s, juzi ulikuwa kwenu Moshi msibani, kazi yako ilikuwa kununuliwa tu pombe, hela hadi mwanamke wako aamue yeye kukupa. Na kwa ulevi wako kila wakati uko njwii, baba zima unaweka double kick kwenye chupa ya K Vant.
Mbezi Beach yote ni wewe unayetutia aibu. Jirekebishe
Na wewe acha kuombaomba uchi. Hamna mwanamke atakaye kuomba hela kama hujamuomba uchi
Ha ha ha......Nashangaa. Yani Janaume linataka likufanye wewe kitoweo. Eti mi nikupe hela kwani ni baba ako? Na wewe upewe utelezi si ukauombe kwa bi mdash.
Acheni ubahili tunzeni warembo lasivyo kila mtu abaki na chake
Pointless.Habari ndiyo hiyo, madogo kelele zimekuwa nyingi, mkiombwa hela kidogo tu mnakuwa wakali kama nyuki.
Hela yenyewe inayokutoa mapovu utakuta ni buku 10 au 50, au laki, lakini utalalamika usiku kucha na mchana kutwa.
Mademu hawa, hamna anayekuomba umnunulie kiwanja wala umjengee nyumba, wao wanataka tu hela ya saluni, ikizidi sana watataka hela ya simu.
Kama unajikuta huna hela za kumtosheleza mwanamke usitongoze, wala usiombe papuchi tuachie wenye hela za kuhonga tuvimbe. Wee nenda kwa mademu zenu wa buku 3 ambao hawana mizinga wala nini, wanauza mbunye.
Hizi toto za kitaa zimekushinda.
Vizuri hugharamiwa!
Nimempa leoDuh!
Wanawake tunahitaji sana financial freedom. Kwa namna moja au nyingine Comment yako imemtukana hadi mama yako mzaziUende kununua wa buku 3 uwe fundi wa kuonga hizo 10k, 50k au 100k wote tunanunua malaya.
Hao wa kitaa wamejificha kwenye kivuli cha KUHUDUMIWA ila nao ni malaya tu indirectly
Hata huyo wa buku 3 huko mtaani kwake wapo wanaomuonga hizo 10k, 30k, 50k
Maisha ni mvuragano wewe fanya kilicho ndani ya uwezo wako ili mradi usuuze rungu
Aibu naona mimi. Kaufyata, harudi tena. Anajiona teenagers, muda wote kutembea barabarani na chupa za pombeSi ndo apo
[emoji23][emoji23]Siku hizi demu akiniomba pesa napata muwasho na vipele vya joto huku vikiandamana na mvua nyingi na mawingu kiasi[emoji3]
Wee unadate watoto [emoji23]Tena vinaandikaka hivi "bebi aomba hela ya kula" kama havina meno mdomoni
Duhh! Makavu live.View attachment 2504331
At your age of 50s, juzi ulikuwa kwenu Moshi msibani, kazi yako ilikuwa kununuliwa tu pombe, hela hadi mwanamke wako aamue yeye kukupa. Na kwa ulevi wako kila wakati uko njwii, baba zima unaweka double kick kwenye chupa ya K Vant.
Mbezi Beach yote ni wewe unayetutia aibu. Jirekebishe
Umeandika ushubwadu.Habari ndiyo hiyo, madogo kelele zimekuwa nyingi, mkiombwa hela kidogo tu mnakuwa wakali kama nyuki.
Hela yenyewe inayokutoa mapovu utakuta ni buku 10 au 50, au laki, lakini utalalamika usiku kucha na mchana kutwa.
Mademu hawa, hamna anayekuomba umnunulie kiwanja wala umjengee nyumba, wao wanataka tu hela ya saluni, ikizidi sana watataka hela ya simu.
Kama unajikuta huna hela za kumtosheleza mwanamke usitongoze, wala usiombe papuchi tuachie wenye hela za kuhonga tuvimbe. Wee nenda kwa mademu zenu wa buku 3 ambao hawana mizinga wala nini, wanauza mbunye.
Hizi toto za kitaa zimekushinda.
Vizuri hugharamiwa!
SawaUmeandika ushubwadu.
Wala hauna Hela yoyote unajimwambafai tu
Ndio uanaumePointless.
Kwani nani anatongoza dunia ya sasa wanawake wako kimaslahi
Tunawajibika kwa raha tunazopataKwan wenyewe hawana hisia? raha tunapata wanaume tu? Aisee wapunguze kutuuzia ndo mana wana nyanyaswa sanaa