Ni tabia mbovu sana, na ikiendelea hivi itafikisha wanawake pabaya. Mtu anataka asuke nywele za elfu 30 ilihali hana uwezo, amiliki simu ya 500k hana uwezo etc. Live within your limit. Mimi siwezi omba hela hovyo, natumia kutokana na kipato changu na kupunguza matumizi yasiyo ya lazima. Kutunza mwili wako mwenyewe unasubiria hela ya kupewa loh, kama huna tulia.
Sio wajibu wangu kuwahudumia wazazi wao ndo wanapaswa/walipaswa kupambana kuhakikisha watoto tunakua na maisha mazuri.
Wajibu wangu ni kuhudumia familia yangu akiwemo mke wangu na watoto wangu tu.. msaada ninaoweza kuwasaidia wazazi mimi kama kijana wao ni kuwasaidia wadogo zangu inapobidi.
Huo ndo ukweli mchungu!
Stress za mikopo ya vikoba vinafanya wanawake waliwe hovyo sana hasa wake za watu,
Mwanamke anashawishiwa na wanawake wenzie akope hata mume wake hajui maskini,anachukua 300k ananunua vijora nk akirudisha laki hiyo laki 2 stress znaanza,baba hajui ndugu hawajui unategemea nn?ndo wanafatwa vijana na sisi vijana hatuna dogo akiomba 20k unaipiga picha ikiwa kitandan unamtumia wsp status unamwambia njoo chap ila usivae surual ya kubana,yeye kashaelewa kiutu uzima,akileta maneno mengi unamwambia ok ukiweza kuja njoo home si unapajua,,unatulia atahangaika weeee akikosa atakuja
Ke bwanawewe ni KE au ME
...Anazo Nani?....[emoji57][emoji57]Hela zenyewe hamna na bado mnatusimanga
Alafu tukiwaomba mtaro wanakasirika🤣🤣🤣🤣Ni tabia mbovu sana, na ikiendelea hivi itafikisha wanawake pabaya. Mtu anataka asuke nywele za elfu 30 ilihali hana uwezo, amiliki simu ya 500k hana uwezo etc. Live within your limit. Mimi siwezi omba hela hovyo, natumia kutokana na kipato changu na kupunguza matumizi yasiyo ya lazima. Kutunza mwili wako mwenyewe unasubiria hela ya kupewa loh, kama huna tulia.
Na nyie mna moyo kutifua mitaro lohAlafu tukiwaomba mtaro wanakasirika🤣🤣🤣🤣
Kama hupewa wewe unadhani na wote hivyo hivyo wananyimwa?Hela zenyewe hamna na bado mnatusimanga
Makeup zinawaendesha mpaka mnasahau mahitaji muhimu hatimaye mnakuwa omba omba.Ukigeuka huku wanawake Kule wanawake hapa wanawake pale wanawake 🥴
Tupumzisheni basi
Mmhh!!!Alafu tukiwaomba mtaro wanakasirika🤣🤣🤣🤣
Kwa hiyo wanaotoaga hela kwa tusio na chura wamerogwa [emoji23][emoji23] heheeeWaombe pesa ila wawe na tako nasisitiza hana tako na tumbo la mazoezi ukitoa pesa utakuwa umelogwa mkuu, wanawake wasio na tako akiomba pesa piga Kwa kukopa then tembea usilipe
Huwa nawambia pole sanaAnakwambia kabisa yaani hapa nina njaa kabisa sijala leo na bando linakata niunge tuendelee kuchat
Siku wanawake wakiacha kuomba omba hella mapenzi ya dhati yatarudi..Wakuu Habari zenu!
Kiukweli wanawake wamekuwa omba omba Sana yaani ukienda WhatsApp Wanawake wanaomba hatari.. ukikaa Kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela.
Jamani nyie Wanawake mmekuwa kero kuliko hata wale wa barabarani Bora hela yangu nimpe yule mtoto mdogo ombaomba kuliko wewe jituzima tena umeolewa, unafanya kazi, pesa ya bando la WhatsApp unayo halafu unaomba omba.
Hakuna mwanaume anayependa kutoa Hela.. maana wote mlipewa Viuongo sawa, mikono, miguu, Akili n.k ili mfanye kazi sasa.. wanawake Akili zao kuomba omba tu.
UTAFITI
Asilimia kubwa wanaojiuza ni wanawake na ukiwauliza watakuambia wanashida na Fedha.
Sasa swali MBONA wanaume hawajiuzi kama Nyie wanawake kutanda barabarani.. means wanaume wa Akili Sana ya kutafuta Pesa au ni vipi??
UKWELI MCHUNGU.. WANAWAKE ACHENI KUOMBA OMBA MMEKUWA KERO