Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
Ni tabia mbovu sana, na ikiendelea hivi itafikisha wanawake pabaya. Mtu anataka asuke nywele za elfu 30 ilihali hana uwezo, amiliki simu ya 500k hana uwezo etc. Live within your limit. Mimi siwezi omba hela hovyo, natumia kutokana na kipato changu na kupunguza matumizi yasiyo ya lazima. Kutunza mwili wako mwenyewe unasubiria hela ya kupewa loh, kama huna tulia.

wewe ni KE au ME
 
Stress za mikopo ya vikoba vinafanya wanawake waliwe hovyo sana hasa wake za watu,

Mwanamke anashawishiwa na wanawake wenzie akope hata mume wake hajui maskini,anachukua 300k ananunua vijora nk akirudisha laki hiyo laki 2 stress znaanza,baba hajui ndugu hawajui unategemea nn?ndo wanafatwa vijana na sisi vijana hatuna dogo akiomba 20k unaipiga picha ikiwa kitandan unamtumia wsp status unamwambia njoo chap ila usivae surual ya kubana,yeye kashaelewa kiutu uzima,akileta maneno mengi unamwambia ok ukiweza kuja njoo home si unapajua,,unatulia atahangaika weeee akikosa atakuja
 
Sio wajibu wangu kuwahudumia wazazi wao ndo wanapaswa/walipaswa kupambana kuhakikisha watoto tunakua na maisha mazuri.

Wajibu wangu ni kuhudumia familia yangu akiwemo mke wangu na watoto wangu tu.. msaada ninaoweza kuwasaidia wazazi mimi kama kijana wao ni kuwasaidia wadogo zangu inapobidi.

Huo ndo ukweli mchungu!

umeongea point sana Mkuu
 
Stress za mikopo ya vikoba vinafanya wanawake waliwe hovyo sana hasa wake za watu,

Mwanamke anashawishiwa na wanawake wenzie akope hata mume wake hajui maskini,anachukua 300k ananunua vijora nk akirudisha laki hiyo laki 2 stress znaanza,baba hajui ndugu hawajui unategemea nn?ndo wanafatwa vijana na sisi vijana hatuna dogo akiomba 20k unaipiga picha ikiwa kitandan unamtumia wsp status unamwambia njoo chap ila usivae surual ya kubana,yeye kashaelewa kiutu uzima,akileta maneno mengi unamwambia ok ukiweza kuja njoo home si unapajua,,unatulia atahangaika weeee akikosa atakuja

dah unanifikilisha sana Pale mke wangu atakapo Anza kucheza vikoba
 
Hahahaha hakuna hajaa ya kupanic mkuu pole sana. Kwahyo wewe ukiwa kwa relationship hiwez msaidia mwanamke wako kwa lolote kuhusu pesa kisa tu anakupa k na stareh ni kwa wote so ajitegemee.

nimuhudumie nini? nitunahudumiana
 
Ni tabia mbovu sana, na ikiendelea hivi itafikisha wanawake pabaya. Mtu anataka asuke nywele za elfu 30 ilihali hana uwezo, amiliki simu ya 500k hana uwezo etc. Live within your limit. Mimi siwezi omba hela hovyo, natumia kutokana na kipato changu na kupunguza matumizi yasiyo ya lazima. Kutunza mwili wako mwenyewe unasubiria hela ya kupewa loh, kama huna tulia.
Alafu tukiwaomba mtaro wanakasirika🤣🤣🤣🤣
 
Hela zenyewe hamna na bado mnatusimanga
Kama hupewa wewe unadhani na wote hivyo hivyo wananyimwa?
Ninyi mliyekuwanazo mbona mnaomba? Unadhihaki huku unatamani. Acha dharau. Wapo wanaoomba na wafanikiwa kupewa na hao unaowadharau kuwa hawana pesa.
 
Waombe pesa ila wawe na tako nasisitiza hana tako na tumbo la mazoezi ukitoa pesa utakuwa umelogwa mkuu, wanawake wasio na tako akiomba pesa piga Kwa kukopa then tembea usilipe
Kwa hiyo wanaotoaga hela kwa tusio na chura wamerogwa [emoji23][emoji23] heheee
 
Wakuu Habari zenu!

Kiukweli wanawake wamekuwa omba omba Sana yaani ukienda WhatsApp Wanawake wanaomba hatari.. ukikaa Kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela.

Jamani nyie Wanawake mmekuwa kero kuliko hata wale wa barabarani Bora hela yangu nimpe yule mtoto mdogo ombaomba kuliko wewe jituzima tena umeolewa, unafanya kazi, pesa ya bando la WhatsApp unayo halafu unaomba omba.

Hakuna mwanaume anayependa kutoa Hela.. maana wote mlipewa Viuongo sawa, mikono, miguu, Akili n.k ili mfanye kazi sasa.. wanawake Akili zao kuomba omba tu.

UTAFITI
Asilimia kubwa wanaojiuza ni wanawake na ukiwauliza watakuambia wanashida na Fedha.

Sasa swali MBONA wanaume hawajiuzi kama Nyie wanawake kutanda barabarani.. means wanaume wa Akili Sana ya kutafuta Pesa au ni vipi??

UKWELI MCHUNGU.. WANAWAKE ACHENI KUOMBA OMBA MMEKUWA KERO
Siku wanawake wakiacha kuomba omba hella mapenzi ya dhati yatarudi..
Hili tatizo ni sugu kama rushwa nchini..
Na wanaohonga ndio wanazidi kuongeza tatizo..
Na kuna watu wanahonga mazee askwambie mtu.
 
Wanaume kuwapa pesa wanawake haikuwa shida tangu zamani, ilikuwa ni kawaida.

Shida imeanza wanapodhani pesa ni haki yao, wanawake wameacha kuwa na aibu,

Mademu hawaogopi kuomba pesa tena na pia mademu wanafikiri wanaume wanaowapa pesa sana ni wajinga.

So sad!!.
 
Niseme tu wanawake wanapenda kututesa sana sisi ila kwa kuwa tunawapenda hatuna budi kukomaa pale ambapo moyo wako unapata furaha
 
Tumeumbiwa kuwatunza! Tuwape watakavyo nasi watatupatia tutakavyo
 
Inashangaza sana kuona vibaka wanachomwa moto mtaani huku kausha damu wanaachiwa tu wakati demage inayosababishwa na kausha damu kwenye jamii ni kubwa kuliko ya hawa vibaka. Kwa sasa ni ngumu sana kuanzisha mahusiano ya maana kwa sababu wanawake wamekua kausha damu wanachokitafuta kwenye mahusiano ni kupewa hela tu.

Kausha damu ni kero kwenye jamii. Wanawake mmekua ombaomba na matapeli. Mnajidhalilisha na kujishusha utu wenu kwa ajiri ya vitu vidogo sana. Hivi ukiwa na appointment ya kukutana na mpenzi wako kweli hata hela ya bodaboda itakushinda, kiasi kwamba unataka na hiyo atoe mwanaume?

Ishini life style mnayoimudu kulingana na vipato vyenu. Hauna kazi wala biashara iliyosimama baki nyumbani kwa wazazi wako subiri kuolewa sio unapanga chumba halafu unategemea hela ya kodi, luku, gesi ipatikane kwa kudanga. Nawaambieni ukweli nyie kausha damu hakuna ombaomba anaeheshimika.

Kausha damu wamehalalisha udangaji na ukahaba kwa kigezo kwamba mwanaume ana jukumu la kumhudumia mwanamke. Sikatai mwanaume kumhudumia mwanamke lakini kuna namna ambayo itamlazimu mwanaume akuhudumie. Kwanza uwe mke wake mnaishi pamoja, pili usiwe na shughuli ya kukupa kipato la sivyo unatakiwa kujihudumia mwenyewe kama hauna kazi basi jukumu la kukuhudia ni la wazazi wako.

Na nyie wanaume wajinga mnaojikuta gentlemen na kuingia gharama kuwafurahisha hawa indirect prostitutes nawaambieni ukweli hawa kausha damu wanawaona mafala tu na wataendelea kuwatumia kwa masilahi yao kwa sababu ya ujinga wenu. Mwaka 2024 badilikeni mnatuabisha sana, wanaume wote tunaonekana idiots and pussy driven kwa sababu yenu.

Kausha damu wote nawapeni makavu live, sex ni mutualy pleasure sio biashara. Mkitumia kigezo cha kugawa mbususu kama justification ya kupewa hela au matunzo kutoka kwa mwanaume ambae sio mmeo basi nyie ni makahaba tu.
 
Mwanamke ndoto yao kubwa ni kuolewa na kujenga familia

Wanaume wengi sisi ni waongo na hatuna mpngo wa kuoa , sasa wanawake na wao wameamua wasikose vyote, pesa ama ndoa.

Wanachofanya ni sawa kabisa na sisi ndio tumetaka iwe hivyo ,cha muhimu apo tafuta pesa ,malalamiko hayatasaidia tena .
 
Back
Top Bottom