Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
Yes I'm a nice guy

Na naamini katika positive outcome ni ngumu mwanamke akanifanyia mambo mabaya yoyote kwa sababu Mimi huwa nakuwa na MTU kwa Len go la kumjenga zaidi , mentally , and to give her the emotional support.


I don't need to be nasty to anybody

To be nice guy it is pay in long run
Basi tunatofautiana mimi siamini katika unice guy, demokrasia wala ideology yoyote inayompa mjinga uhuru wa kufanya maamuzi. Mwenye nguvu na akili zaidi ndie anatakiwa kum-control ambae ni dhaifu na mpumbavu iwe kwa hiyari au kwa kumlazimisha.
 
Basi tunatofautiana mimi siamini katika unice guy, demokrasia wala ideology yoyote inayompa mjinga uhuru wa kufanya maamuzi. Mwenye nguvu na akili zaidi ndie anatakiwa kum-control ambae ni dhaifu na mpumbavu iwe kwa hiyari au kwa kumlazimisha.
Ndo maana umekwama Katika mambo yako mengi huwezi kufanikiwa MAISHA na kuwa decent future if you bealive to treat people as monster.


Embrace Gold rule - treat people as you wish to be treated .

Itakuchukua miaka mingi kusimama , katika economically, mentally, spiritual, and to having strong or matured relationship towards other.
 
Ipo kausha damu, vipo vikoba, ipo mchezo, ipo kununuliana vyomba, upo ujirani mwema.

Mamndenyi bado hujasema.
A.k.a Marejesho.Jamaa yangu anakausha damu yake ukishindwa kulipa unapelekwa shambani unakatiwa kipande chenye thamani ya ela iliyobaki au uliyokopa.Wamama wamejaa Shambani utafikiri wako Manamba.Ila cha Kushangaza Kuna wake za watu ambao wamekopa ila waume zao hawajui.
 
Tunawapa makavu live msifikiri tunawaonea wivu, mmekua kero. Siku moja nilikua napiga story na mzungu nikammuliza kuhusu wakina dada wa Tanzania akasema nyie ni gold diggers, yaani mkichat text mbili tatu out of nothing mnaanza kuomba hela. Acheni huo ujinga mnalitia aibu taifa. Na tabia yenu kuendekeza tamaa ya vitu msivyovimudu nakwambia mwaka huu tutawafumua sana marinda.
Unatoaje makavu & tag pasi na supporting document?

Hujawahi kuwa my BF, haitokuja tokea.. uhalali wa kunimention kwenye hoja yako umepata wapi?

Nb: mambo kwa ground hayako hivyo unavyofosi yawe.
 
Ndo maana umekwama Katika mambo yako mengi huwezi kufanikiwa MAISHA na kuwa decent future if you bealive to treat people as monster.


Embrace Gold rule - treat people as you wish to be treated .

Itakuchukua miaka mingi kusimama , katika economically, mentally, spiritual, and to having strong or matured relationship towards other.
Maisha hayana kanuni inayofanya kazi kwa kila mtu na kila sehemu ni suala la kuangalia wapi ufanye nini. Roho mbaya imewaumiza wengi na kuwanufaisha wengi ivyo ivyo roho nzuri imewaumiza wengi na kuwanufaisha wengi. Kausha damu amekuja kwa lengo la kunipiga kwa nini nimuonee huruma? Iyo cycle ya kuwaonea huruma itaendelea mpaka utakapoingia kwenye mfumo wa mmoja wapo ila yule wa kwanza kujileta ukimpiga tukio wengine hawatakuletea ujinga.
 
Unapokuwa unapambana na tatizo lazima ujikite kuangalia njia bora ambazo hautoumiza watu na wewe hautojiumiza.

MTU kuwa msomi na akawa kibaka hiyo 'Ari' inaweza kusababishwa na mambo mengi Sana ikiwemo kukosa insight, personal growth, deep thinking, addiction , stress &depression hivyo huyo ni mwathirika a victim anabidi kupewa second chance to restore his or her mind.


As well MTU kuwa ,mdangaji ,Malaya , kausha damu n.k moja kwa moja huyo ni victim Mwathirika anabidi kupewa more second chance.



Watu wamekwama mkuu kuanzia mentally , spiritual, financially , they are no longer thinking effectively hivyo kuendelea kulaumu na kuwaita majina mabaya unabidi kujua unakosea Sana. tena Sana.


Ebu jiulize swali hao wadangaji wapi huwa wanawekeza their money baada ya kuhongwa ? Means they earn a lot of money but they end up being broke and depressed year to year .

Also njoo kwa vibaka where they spend their money after does damn ? Means wanatumia the all money they earn kununua Malaya , pombe , Kubeti, and other shit.

So the solution to deals with these such kind of people is to unlock their mind first. And give them second chance before the mob justice (killing) to take place.

We need to be creatures of logic and not Emotions
Unampaje 2nd chance mtu ambaye ameamua ku fuckk up maisha ya wengine for a living. Thats stupid as fuuck
 
Mwanamke ndoto yao kubwa ni kuolewa na kujenga familia

Wanaume wengi sisi ni waongo na hatuna mpngo wa kuoa , sasa wanawake na wao wameamua wasikose vyote, pesa ama ndoa.

Wanachofanya ni sawa kabisa na sisi ndio tumetaka iwe hivyo ,cha muhimu apo tafuta pesa ,malalamiko hayatasaidia tena .
Mhm....hapana bwana wanaume tuna mpango wa kuoa tena kuoa wake wengi ndio mpango mzima. Sie tumebarikiwa roho ya upendo na huruma. Hao wanawake wao mission yao ni kupata pesa waondokane na sie wanaume....yaani bahati tuu ninkwamba the world is run by men lah sivyo hawa wange tufyekelea mbali
 
Sina shida na wanaofanya ukahaba wa moja kwa moja. Kama mwanamke anafanya biashara ya ukahaba awe wazi from the first place. Pale pale anapotongozwa aseme anafanya biashara tukubaliane bei twende geto tukamalizane huduma yake ikinifurahisha nitamtafuta siku nyingine nitakayomhitaji lakini sio kunibebesha jukumu la kumhudumia kisa tumefanya mapenzi. Mwanamke akitaka kufanya biashara ya ukahaba awe wazi afanye biashara yake siku akiishiwa luku, gesi, kodi n.k hayo mimi hayanihusu kwa sababu siku nilimtomba nilimpa hela yake tuliyokubaliana na kama akiamua kuingia kwenye mahusiano ya kimapwnzi basi aakishe anamudu kujihudumia kulingana na life style anayotaka kuishi. Mbususu is not woman's escaping route of her financial responsibilities
Extrovert njoo huku, maboya wanazidi kupungua, mwishowe watapotea kabisa
 
Mhm....hapana bwana wanaume tuna mpango wa kuoa tena kuoa wake wengi ndio mpango mzima. Sie tumebarikiwa roho ya upendo na huruma. Hao wanawake wao mission yao ni kupata pesa waondokane na sie wanaume....yaani bahati tuu ninkwamba the world is run by men lah sivyo hawa wange tufyekelea mbali
Kwel huu mwaka mpya😁😁
 
Maisha yana mambo mengi Sana usihukumu , shit happens , peoples earn dirt money for killing innocent people and finally they end up being broke and hopeless . with mob justice.


To be smarter and knowledgeable its just a journey and not everyone can reach at this stage.

Tupo zama za kondoo, all we need is to pray for serenity in our heart and mind.


Before Mob justice give them a second chance
 
Maisha yana mambo mengi Sana usihukumu , shit happens , peoples earn dirt money for killing innocent people and finally they end up being broke and hopeless . with mob justice.


To be smarter and knowledgeable its just a journey and not everyone can reach at this stage.

Tupo zama za kondoo, all we need is to pray for serenity in our heart and mind.


Before Mob justice give them a second chance
Mtu amemtia kisu ndugu yangu nimpe 2nd chance. Hell no brother Mungu atanisamehe tu
 
Back
Top Bottom