Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
Asikubabaishe et usipo mpa hela atakunyima utamu, wao hawana utamu, utamu tunao sisi wapo wanawake wengi wasio omba omba hela, tafuta pole pole achana na kausha damu hela siyo haki yao lazima wawajibike.Kwenye maombi yako usisahau kumuomba Mungu akuepushe na Wanawake kausha Damu. Mizinga Daily kama mko vitani
aepushe biashara ya mapenzi sio 🐒
 
Sio kwamba wew ndo upo 200BC?

dada wengi siku hizi wanapambana sana, kumkuta mwanamke salio linasoma milion 200 kitu cha kawaida siku hizi,tofauti na hiyo zaman unayoisema bro
 
Asikubabaishe et usipo mpa hela atakunyima utamu, wao hawana utamu, utamu tunao sisi wapo wanawake wengi wasio omba omba hela, tafuta pole pole achana na kausha damu hela siyo haki yao lazima wawajibike.Kwenye maombi yako usisahau kumuomba Mungu akuepushe na Wanawake kausha Damu. Mizinga Daily kama mko vitani

Unaongelea mke au demu?

Kama ni mke, inakuaje hadi anaenda kujiingiza kwenye mikopo kama unampa matunzo na matumizi?
 
[emoji28][emoji28][emoji28]sema hapana kati ime ibuka wave moja hatarii ni kama wame ambiana wanawake wana omba sanaa asee kushinda hata omba omba ..mna stress za nini mabinti ajira hakuna au [emoji28][emoji28]
 
Asikubabaishe et usipo mpa hela atakunyima utamu, wao hawana utamu, utamu tunao sisi wapo wanawake wengi wasio omba omba hela, tafuta pole pole achana na kausha damu hela siyo haki yao lazima wawajibike.Kwenye maombi yako usisahau kumuomba Mungu akuepushe na Wanawake kausha Damu. Mizinga Daily kama mko vitani
Kakupandishia dau nini mkuu.?

Muongeze asikupe kesi ya KUBAKA
 
Back
Top Bottom