Mtutuwandei
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 1,317
- 1,817
Kwa nini wanaume wananunuwa ngono?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapalilia.Duh uyo jamaa ni mkoloni aisee.wanapalilia/wanalima ?
Jibu hoja zangu kwanza jinsia yangu inahusiana nini na hii mada, unataka kujua kama mimi ni mwanamke au mwanaume ili iweje, kwamba mtu akiwa mwanaume basi anatakiwa atukane wanawake na atetee wanaume wenzie tu hata kwenye upumbavuWewe ni mwanamke au mwanaume?
Wape mkuu, wape hao KAUSHA DAMU..👏👏👏👏Inashangaza sana kuona vibaka wanachomwa moto mtaani huku kausha damu wanaachiwa tu wakati demage inayosababishwa na kausha damu kwenye jamii ni kubwa kuliko ya hawa vibaka. Kwa sasa ni ngumu sana kuanzisha mahusiano ya maana kwa sababu wanawake wamekua kausha damu wanachokitafuta kwenye mahusiano ni kupewa hela tu.
Kausha damu ni kero kwenye jamii. Wanawake mmekua ombaomba na matapeli. Mnajidhalilisha na kujishusha utu wenu kwa ajiri ya vitu vidogo sana. Hivi ukiwa na appointment ya kukutana na mpenzi wako kweli hata hela ya bodaboda itakushinda.! Kiasi kwamba unataka na iyo atoe mwanaume.
Ishini life style mnayoimudu kulingana na vipato vyenu. Hauna kazi wala biashara iliyosimama baki nyumbani kwa wazazi wako subiri kuolewa sio unapanga chumba halafu unategemea hela ya kodi, luku, gesi ipatikane kwa kudanga. Nawaambieni ukweli nyie kausha damu hakuna ombaomba anaeheshimika.
Kausha damu wamehalalisha udangaji na ukahaba kwa kigezo kwamba mwanaume ana jukumu la kumhudumia mwanamke. Sikatai mwanaume kumhudumia mwanamke lakini kuna namna ambayo itamlazimu mwanaume akuhudumie. Kwanza uwe mke wake mnaishi pamoja pili usiwe na shughuli ya kukupa kipato la sivyo unatakiwa kujihudumia mwenyewe kama hauna kazi basi jukumu la kukuhudia ni la wazazi wako.
Sikilizeni vijana wenzangu, limwanamke lolote ambalo lipo after money likiingia kwenye anga zako usilionee huruma. Libandue kisawa sawa lipelekee moto mpaka kwa mpalange tena bila kilahinisho halafu asubuhi lipe jero ya daladala liondoke zake.
Na nyie wanaume wajinga mnaojikuta gentlemen na kuingia gharama kuwafurahisha hawa indirect prostitutes nawaambieni ukweli hawa kausha damu wanawaona mafala tu na wataendelea kuwatumia kwa masilahi yao kwa sababu ya ujinga wenu. Mwaka 2024 badilikeni mnatuabisha sana, wanaume wote tunaonekana idiots and pussy driven kwa sababu yenu.
Najua uzi huu utavamiwa na kausha damu wakiongozwa na Depal . Kausha damu wote nawapeni makavu live, sex ni mutualy pleasure sio biashara. Mkitumia kigezo cha kugawa mbususu kama justification ya kupewa hela au matunzo kutoka kwa mwanaume ambae sio mmeo basi nyie ni makahaba tu.
Hapo wavuvi camp ndio wapi jamani mie napasikia tuu...ebu nielewesheniMimi kuhonga ni moja ya starehe zangu mwanamke akionesha kunipenda namuogopa nakimbia .napenda date malaya walio straight..jaribu nenda wavuvi chagua kali mpaka kwa mpalange unapewa siku hiyo hiyo.na asubuhi unakunywq nae supu unampa hela yake .no stress na mkikutana hadi mnakumbatiana 1 love
ingia bolt weka wavuvi camp itakuja na nauli ila uwe na ka mia 3 ka kuchoma .Hapo wavuvi camp ndio wapi jamani mie napasikia tuu...ebu nielewesheni
Cha msingi sii mwanaume kapata sehemu ya kukojolea. Hela kitu gani bwana mbele ya starehe"Na nyie wanaume wajinga mnaojikuta gentlemen na kuingia gharama kuwafurahisha hawa indirect prostitutes nawaambieni ukweli hawa kausha damu wanawaona mafala tu na wataendelea kuwatumia kwa masilahi yao kwa sababu ya ujinga wenu"
Sahihi kabisa na hum wapo wengi Sana wa Aina hio tena wachafu balaa
Kweli kama huna hela wee tulizana na mpenzi revolaNo free lunch.Hata kuku mwenyewe anapewa mchele ili aliwe kwa wali.Ukiona mkataba haukufai tembeza soli.Ujimilikishe kwa mabinti wa watu huna hata pesa sabuni itakuhusu.
Tatizo hao ndio wanakuwa wazuri na wana takoHivi inakuaje mnakua na mahusiana na hao malaya??🤣
Si utafute mnaeendana mkuu
Laki tatu zote za nini mzeya wakati zipo mbususu za buku 50 tuuingia bolt weka wavuvi camp itakuja na nauli ila uwe na ka mia 3 ka kuchoma .
Mkuu hata hawa ili upewe vizuri huwa akiomba mara 10 unampa 3 na skuingine mchana unamtumia ka 10 ukisema nimekumis kale lunch malkia.mwanamke akiwa na shida serios ya 20 na kabanwa ukampa bure bila kuomba ngono mkuu huko ndani tunavyopewa hatusemi.Sasa hawa kausha damu ni makahaba wa kimya kimya. Mwanamke malaya wa kugongwa usiku na kuondoka asubuhi anataka apewe huduma kama za mke.
Sasa mbona wakiomba pesa mnawalalamikia jamani 😅Tatizo hao ndio wanakuwa wazuri na wana tako
Ukiona mwanaume analalmika kuombwa hela na mwanamke pisi kali ujue huyo hana hela.Sasa mbona wakiomba pesa mnawalalamikia jamani 😅
Ndio zipo kitambaa ni levels mkuu hata hiyo hamsini ya nn pale malapa buguruni ni tsg 3000 goli 1 .Laki tatu zote za nini mzeya wakati zipo mbususu za buku 50 tuu
Hata ukiwa nazo mkuu kuombwa ombwa ni keroUkiona mwanaume analalmika kuombwa hela na mwanamke pisi kali ujue huyo hana hela.
Hatulalamiki tunawaelekeza na kuwakumbusha kuwajibika. Hatuwezi kuruhusu tuwe na taifa la gold diggersSasa mbona wakiomba pesa mnawalalamikia jamani [emoji28]