Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
Sasa kwani umiombwa sii mbususu unapewa sasa shida iko wapi tena hapo mwanawane
Kama anauza mbususu ataje bei twende geto tukamalizane siku akiishiwa na luku, gesi n.k hayo hayanihusu kwa sababu niliyomchakata nilishampa malipo yake ila mizinga kila siku hapana hata kama hela ninayo siwezi kufanya huo ujinga
 
Ukiona mtu hayuko proud na jinsia yake lazima ni mwanaume .pili lazima ni gay
Kuwa proud na jinsia yako maana yake nini je ni kutetea jinsia yako hata kwenye vitu vya kipumbavu, huyo mtoa mada yeye mwenyewe alisema anadate na mijimama ili impe pesa, huku anawasema wanawake wanaodanga sasa yeye na hao wanawake wanaodanga wana utofauti gani
 
Kuwa proud na jinsia yako maana yake nini je ni kutetea jinsia yako hata kwenye vitu vya kipumbavu, huyo mtoa mada yeye mwenyewe alisema anadate na mijimama ili impe pesa, huku anawasema wanawake wanaodanga sasa yeye na hao wanawake wanaodanga wana utofauti gani
Mnajuana kumbe ngoja tuwaache hadi muuane
 
Kuwa proud na jinsia yako maana yake nini je ni kutetea jinsia yako hata kwenye vitu vya kipumbavu, huyo mtoa mada yeye mwenyewe alisema anadate na mijimama ili impe pesa, huku anawasema wanawake wanaodanga sasa yeye na hao wanawake wanaodanga wana utofauti gani
Unajifanya una akili sana kiuhalisia wewe ni kilaza
 
Kama hayo mahusiano ni mutual and fair, kwanini mwisho wa siku wakiachana halafu mwanaume akachelewa kuoa, na mwanamke akachelewa kuolewa anayetukanwa ni mwanamke

Na kwanini kwenye hayo mahusiano ikitokea wamepata mtoto, wakija kuachana anayetukanwa ni mwanamke na kuitwa single mother, ushawahi sikia mwanaume anatukanwa ni single father

Na kwanini kwenye hayo mahusiano ikitokea wameachana, halafu kila mmoja wao akapata mtu mwingine, mwisho wa siku anayetukanwa kuwa anabadilisha wapenzi na kuitwa malaya ni mwanamke

Na kwanini hamtaki haki sawa ikiwa mnalazimisha na wanawake nao watafute pesa kama mnavyotafuta ninyi, kwanini hamtaki haki sawa na kusema kwamba mwanaume na mwanamke hawawezi kuwa sawa, bado mnataka muwatawale ila hapo hapo mnataka majukumu sawa

Na kama hilo tendo wote mnalifaidi kwa usawa, kwanini wanaume ndio wana uhitaji mkubwa sana wa hilo tendo kuliko wanawake kiasi cha wao kulihangaikia sana kwa kutoa pesa, na je wanawake wakiacha kuwaombaomba pesa ndio mtawaheshimu na kuacha kuwachezea
Ndio mama angu[emoji4]
 
Shida sio kausha damu, shida ni wao na tamaa zao, kutaka kuishi maisha kuliko uwezo wao, ndio hapo wanapoliwa, mbona kausha damu imekuwa kama mvua tu, wanawake wengi toka kitambo walikuwa wakilika kwa vihela vidogo vidogo, mtu ukimpelekea kilo ya nyama na mchele, anakuwekea mguu bara mguu pwani.

Mguu wapi na wapi?[emoji23][emoji23]
 
Asikubabaishe eti usipompa hela atakunyima utamu, wao hawana utamu, utamu tunao sisi wapo wanawake wengi wasioomba omba hela, tafuta pole pole achana na kausha damu hela siyo haki yao lazima wawajibike.

Kwenye maombi yako usisahau kumuomba Mungu akuepushe na Wanawake kausha Damu. Mizinga Daily kama mko vitani.
 
Kwenye maombi yako usisahau kumuomba Mungu akuepushe na Wanawake kausha Damu. Mizinga Daily kama mko vitani
Unamuhusisha Mungu kwenye mambo ambazo hazimuhusu.

Mwanamke sio provider 💯
Hawa aliprovide lunch tu, angalia kilichowakuta Eden. Hamjifunzi kuwa cha mwanamke hakiliwi? Na kama hakiliwi basi tuacheni tuendelee kuwaomba.
 
Unamuhusisha Mungu kwenye mambo ambazo hazimuhusu.

Mwanamke sio provider 💯
Hawa aliprovide lunch tu, angalia kilichowakuta Eden. Hamjifunzi kuwa cha mwanamke hakiliwi? Na kama hakiliwi basi tuacheni tuendelee kuwaomba.
Mawazo ya miaka 1940 una leta sasa 2024.

Cha mwanamke akiliwi, papuchi yako mbona ina liwa kila uchwao ?!
 
Back
Top Bottom