aepushe biashara ya mapenzi sio 🐒
 
Asubuhi yote hii unaamka na kuanza kulia?? Utafika kweli we mji wa Kaanani?
Sometimes you don't need to broadcast your life,You don't need to convince people that you have a happy relationship
 
Sio kwamba wew ndo upo 200BC?

dada wengi siku hizi wanapambana sana, kumkuta mwanamke salio linasoma milion 200 kitu cha kawaida siku hizi,tofauti na hiyo zaman unayoisema bro
 

Unaongelea mke au demu?

Kama ni mke, inakuaje hadi anaenda kujiingiza kwenye mikopo kama unampa matunzo na matumizi?
 
[emoji28][emoji28][emoji28]sema hapana kati ime ibuka wave moja hatarii ni kama wame ambiana wanawake wana omba sanaa asee kushinda hata omba omba ..mna stress za nini mabinti ajira hakuna au [emoji28][emoji28]
 
Kakupandishia dau nini mkuu.?

Muongeze asikupe kesi ya KUBAKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…