Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Lipa kodi awe analaza Boda boda wake.Faida za kulipa kodi:
1. Unakua baba mwenye nyumba
2. Unapunguza gharama ya hotel
3. Unapunguza gharama ya chakula na vinywaji (utakua unapikiwa na vinywaji unaagiza liquor store)
4. Unapunguza gharama ya hela ya nauli/mafuta
Akili kumkichwa
Hii Kanuni ibakie hivi hivi, its True 100%Na mwanamke anaekupenda hakuombi hela
Sina hela za kuchezea.
Lipa kodi awe analaza Boda boda wake.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Aah kumbe ushasema Wewe...we Kwan ni mwanamke au kurumbembe?Aah wapi,namuomba sana,sema akikwama akisema Hana namuelewa fasta kuliko zamwamwa
Akiomba ujue ana shida ya kweli kakosa msaada kwngneHii Kanuni ibakie hivi hivi, its True 100%
We unazo? Au unategemea kupewa bure?Itakua huna kweli. Pole
Akiomba ujue ana shida ya kweli kakosa msaada kwngne
Acha kumtisha mwenzio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poa mkuu nmekukumbuka na thread zako zileee za kule makidire kiutu uzima yaanNaam mambo vipi kaka kitambo sana kaka
π€£π€£π€£π€£ Hata kama kurumbembe,unadhani Sina Moyo we vipi?Aah kumbe ushasema Wewe...we Kwan ni mwanamke au kurumbembe?
Eeh anaweza kuwa mlemavu wa akiliπAjiongeze kwani Wewe ni Mlemavu?
Hamna,huyu ana upendoHuyo ni wale walioshikiwa akili na wanawake.
ππ€£ππPoa mkuu nmekukumbuka na thread zako zileee za kule makidire kiutu uzima yaan
Nlikua nazipenda sana kusoma
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hii nimeichukua kama ilivyoMwanamke unaempenda usimpoteze kwa ubahili wako.. punguza kukunja mkono
Ila ukiona unaombwa hovyo hupendwi.. na hili tuwafundishe?
NakaziaMAHUSIANO SIO SEHEMU YA KUINGIZA KIPATO
We unazo? Au unategemea kupewa bure?
πππHuyo si mkulima bwana....anachaguaje hivyo jembeTofauti iko kubwa sana, na hapa niseme ndipo wadada mnapo jichanganya na kupoteza potential mans sababu mna wa treat all the same. A man mwenye future na ww aki nusa hizi tabia, wala haagi, anayeyuka
Very good, Excellent π!!za kupewa Zina vitamins na protein zinajenga mwiliNinazo za kunitosha kuishi ila za kupewa pia nazitaka