Sasa na wewe kwa nini uoe mwanamke asie bikra kama ndio kipaumbele chako? Bikra zenyewe mnaanza kuzitoa toka watoto wakiwa wadogo wengine miaka 10 tayari wahuni washafanya yao na hawaoi wala nini na wengi wenu mnataka mkifika umri wa kuoa mpate wanawake fresh.Kama sio bikira huyo tayari ni malaya sio mwanamke wa heshima
Jiulize kabla ya kumuoa kashachezea mboo ngapi?
Waacheni mana pesa ni zao na matumizi ni yao yakiwakuta shauri zao.Hatuumii huwa tunawaona wajinga na wapumbavu
😂😂 Basi tumeghairi.Umetoa location 😂😂, nkiwavamia kuwapiga telo ohoo 🔫 mana mtakua loaded!
Kwani hao wahuni walimbaka?Sasa na wewe kwa nini uoe mwanamke asie bikra kama ndio kipaumbele chako? Bikra zenyewe mnaanza kuzitoa toka watoto wakiwa wadogo wengine miaka 10 tayari wahuni washafanya yao na hawaoi wala nini na wengi wenu mnataka mkifika umri wa kuoa mpate wanawake fresh.
Tunapewa wa kufanana nao....
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahaYaani hao ni watu hatari sana😁
Polepole mkuu. Tunaozitoa hizo bikra ni sisi wenyewe halafu tunaowabikiri hatuwaoi. Ingekuwa kila tunayembikiri tunamuoa nadhani kusingekuwa na huu mtanziko tunaouona katika jamii.Kama sio bikira huyo tayari ni malaya sio mwanamke wa heshima
Jiulize kabla ya kumuoa kashachezea mboo ngapi?
Tabia mbaya tu za uchoyo uchoyo😂😂😂😂 waoe binamu zao ili pesa zao wale wajomba na mashangazi zao, wasituchoshe mabinti wa mataifa….
Maturity!Polepole mkuu. Tunaozitoa hizo bikra ni sisi wenyewe halafu tunaowabikiri hatuwaoi. Ingekuwa kila tunayembikiri tunamuoa nadhani kusingekuwa na huu mtanziko tunaouona katika jamii.
Halafu wao wakinyimwa midomo mirefu km chuchunge..!!!Tabia mbaya tu za uchoyo uchoyo
Unatunzwa ukiwa mke au hawala hawala tu kama hawa tunaowaloweka kitaaaMwanaume anamtunza Mtu anayempenda,Ukiona hupewi Hela ujue Kuna anayekula Hela zake
Hahahahaha..Rafiki kwani we sio mchoyo ? Huna uchoyo uchoyoTabia mbaya tu za uchoyo uchoyo
Wanajifanya hawaelewi habari mkono unaotoa,ndio unaopokea😁Halafu wao wakinyimwa midomo mirefu km chuchunge..!!!
Sasa Mtu ananijali hiyo nguvu ya uchoyo naitoa wapi mimii 😁😁ila ukijifanya msela aah tunaenda sawa mbona,kalenda tu kila uchao Hadi unaniacha mwenyeweHahahahaha..Rafiki kwani we sio mchoyo ? Huna uchoyo uchoyo
Wawe tu hatujali wala mimi🤣🤣🤣🤣🤣Dah Wabongo mkisikia Hela mnakuwa mbogo
Hahahahaha...hahahahaha..sawa sawa RafikiSasa Mtu ananijali hiyo nguvu ya uchoyo naitoa wapi mimii 😁😁ila ukijifanya msela aah tunaenda sawa mbona,kalenda tu kila uchao Hadi unaniacha mwenyewe
Ndio maana kama ulisoma Uzi wangu ulee,yaani ukiotea jamaa una feelings nae halafu sio mchoyo,walah unaweza his uko paradise.Hahahahaha...hahahahaha..sawa sawa Rafiki
Hahahahaha...nakuelewaNdio maana kama ulisoma Uzi wangu ulee,yaani ukiotea jamaa una feelings nae halafu sio mchoyo,walah unaweza his uko paradise.