Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mch....wa kwanza na wa mwisho aisee šššKila mtu atumie pesa zake anavyoweza tusipangiane aseeeš¤
ššššMch....wa kwanza na wa mwisho aisee ššš
š¤£ššššš
š¤£ššššš
Pedesheee ndama, mutoto ya ng'ombe š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š
š¤£š¤£š¤£Thubutuš¤¦Pedesheee ndama, mutoto ya ng'ombe š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£
š¤£š¤£š¤£Thubutuš¤¦Pedesheee ndama, mutoto ya ng'ombe š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£
Weweeeeeš¤£š¤£š¤£Thubutuš¤¦
Wakuu Habari zenu!
Kiukweli wanawake wamezidi sana kuomba pesa yaani ukienda WhatsApp ni hatari, ukikaa kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela.
Jamani tabia hii kwa wanawake imekuwa kero kuliko hata wale wanaoomba msaada barabarani. Bora hela yangu nimpe yule mtoto mdogo ombaomba kuliko wewe mtu mzima tena umeolewa, unafanya kazi, pesa ya bando la WhatsApp unayo halafu unaomba pesa nyingine.
Hakuna mwanaume anayependa kutoa hela, maana wote mlipewa viuongo sawa, mikono, miguu, akili n.k ili mfanye kazi sasa, sasa nyie ni kuomba hela tu!
Utafiti usiyo rasmi
Asilimia kubwa wanaojiuza ni wanawake na ukiwauliza watakwambia wanashida na Fedha.
Sasa swali, mbona wanaume hawajiuzi kama nyie ili tu kupata pesa? Ina maana wanaume wana akili sana ya kutafuta pesa au ni vipi?
Ukweli mchungu, punguzeni tabia hii imekuwa kero.u
Wakuu Habari zenu!
Kiukweli wanawake wamezidi sana kuomba pesa yaani ukienda WhatsApp ni hatari, ukikaa kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela.
Jamani tabia hii kwa wanawake imekuwa kero kuliko hata wale wanaoomba msaada barabarani. Bora hela yangu nimpe yule mtoto mdogo ombaomba kuliko wewe mtu mzima tena umeolewa, unafanya kazi, pesa ya bando la WhatsApp unayo halafu unaomba pesa nyingine.
Hakuna mwanaume anayependa kutoa hela, maana wote mlipewa viuongo sawa, mikono, miguu, akili n.k ili mfanye kazi sasa, sasa nyie ni kuomba hela tu!
Utafiti usiyo rasmi
Asilimia kubwa wanaojiuza ni wanawake na ukiwauliza watakwambia wanashida na Fedha.
Sasa swali, mbona wanaume hawajiuzi kama nyie ili tu kupata pesa? Ina maana wanaume wana akili sana ya kutafuta pesa au ni vipi?
Ukweli mchungu, punguzeni tabia hii imekuwa kero.u
Very very simple no complications. Ndalama for mbususuDemu akiniomba hela nampa kisha na mi namuomba kituz, akininyima kituz simpi hela tena
Very very simple no complications. Ndalama for mbususuDemu akiniomba hela nampa kisha na mi namuomba kituz, akininyima kituz simpi hela tena
š¤£š¤£š¤£š¤Weweeeee
Mkuu nilikua najua wewe ni mlokole lia lia nisamehe kwa hilo broš¤Ni kweli wanawake wamekuwa wakiomba hela sana, hata uwe mzee utaombwa hela tu. Kuna mmoja kaniomba hela nikampa kisha na mi nikamuomba penzi akanijibu ni mke wa mtu. Wake za watu nao huomba hela bila aibu, kwani waume zao hawawapi hela?