Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
Mkuu si nikapata demu mmoja wa kihaya nikajichanganya nikamtoa sehemu tupate lunch Ile tunafika babu Yan tumeagiza msosi kafuta msosi Ata kabla yangu


2.sasa akili ikacheza(asije Ona kama nina hela sana) nikasema nimpeleke ofisini kwny biashara yangu lakini nitamwambia nimeajiriwa hapo basi kwa haraka haraka demu akajua maisha sina🤣 nikawa nimeukwepa Msala
Wakuu Habari zenu!

Kiukweli wanawake wamezidi sana kuomba pesa yaani ukienda WhatsApp ni hatari, ukikaa kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela.

Jamani tabia hii kwa wanawake imekuwa kero kuliko hata wale wanaoomba msaada barabarani. Bora hela yangu nimpe yule mtoto mdogo ombaomba kuliko wewe mtu mzima tena umeolewa, unafanya kazi, pesa ya bando la WhatsApp unayo halafu unaomba pesa nyingine.

Hakuna mwanaume anayependa kutoa hela, maana wote mlipewa viuongo sawa, mikono, miguu, akili n.k ili mfanye kazi sasa, sasa nyie ni kuomba hela tu!

Utafiti usiyo rasmi
Asilimia kubwa wanaojiuza ni wanawake na ukiwauliza watakwambia wanashida na Fedha.

Sasa swali, mbona wanaume hawajiuzi kama nyie ili tu kupata pesa? Ina maana wanaume wana akili sana ya kutafuta pesa au ni vipi?

Ukweli mchungu, punguzeni tabia hii imekuwa kero.u
 
Mkuu si nikapata demu mmoja wa kihaya nikajichanganya nikamtoa sehemu tupate lunch Ile tunafika babu Yan tumeagiza msosi kafuta msosi Ata kabla yangu


2.sasa akili ikacheza(asije Ona kama nina hela sana) nikasema nimpeleke ofisini kwny biashara yangu lakini nitamwambia nimeajiriwa hapo basi kwa haraka haraka demu akajua maisha sina🤣 nikawa nimeukwepa Msala
Wakuu Habari zenu!

Kiukweli wanawake wamezidi sana kuomba pesa yaani ukienda WhatsApp ni hatari, ukikaa kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela.

Jamani tabia hii kwa wanawake imekuwa kero kuliko hata wale wanaoomba msaada barabarani. Bora hela yangu nimpe yule mtoto mdogo ombaomba kuliko wewe mtu mzima tena umeolewa, unafanya kazi, pesa ya bando la WhatsApp unayo halafu unaomba pesa nyingine.

Hakuna mwanaume anayependa kutoa hela, maana wote mlipewa viuongo sawa, mikono, miguu, akili n.k ili mfanye kazi sasa, sasa nyie ni kuomba hela tu!

Utafiti usiyo rasmi
Asilimia kubwa wanaojiuza ni wanawake na ukiwauliza watakwambia wanashida na Fedha.

Sasa swali, mbona wanaume hawajiuzi kama nyie ili tu kupata pesa? Ina maana wanaume wana akili sana ya kutafuta pesa au ni vipi?

Ukweli mchungu, punguzeni tabia hii imekuwa kero.u
 
Ni kweli wanawake wamekuwa wakiomba hela sana, hata uwe mzee utaombwa hela tu. Kuna mmoja kaniomba hela nikampa kisha na mi nikamuomba penzi akanijibu ni mke wa mtu. Wake za watu nao huomba hela bila aibu, kwani waume zao hawawapi hela?
 
Ni kweli wanawake wamekuwa wakiomba hela sana, hata uwe mzee utaombwa hela tu. Kuna mmoja kaniomba hela nikampa kisha na mi nikamuomba penzi akanijibu ni mke wa mtu. Wake za watu nao huomba hela bila aibu, kwani waume zao hawawapi hela?
Mkuu nilikua najua wewe ni mlokole lia lia nisamehe kwa hilo brošŸ¤—
 
Back
Top Bottom