cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wana lalama humu khaaahNilipitiwa[emoji23][emoji23]
Usijali,pamoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wana lalama humu khaaahNilipitiwa[emoji23][emoji23]
Usijali,pamoja.
Kata simu niko site. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baby nikuambie kitu?
Ile avatar umeitoa kumbe,ngoja nianze kuja pmThe war between broke guys and slay queen (s) will never cease..
Na vita iendeleee 🤣
Wenye pesa zao wapo kimya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wana lalama humu khaaah
Umaskin na malezi mabaya tu Kuna watu wao wanaona kupewa na kuhongwa hela ni haki yao ya msingi na wao wanaona ni sawa kuwaambia wanaume watafute hela wakati hata wao hizo ela hawana, kila mtu ashinde mechi zake aiseee
🤣🤣 hizo nguvu si huwa mnazo tu[emoji23] unanipima kwenye pesa? nipe nguvu za kiume na sio pesa
Naomba liten hapo mkuuMimi Sina Tatizo na Mwanamke Anaye Omba Hela, Ila Nina Tatizo na Mwanamke Anaye Penda Kuomba Omba Hela Kila Siku.
Kila siku we upo site[emoji50]Kata simu niko site. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sharti na mti unapoupanda hakikisha unaumwagilia maji ili uweze kumea vyema,
sasa kama wewe unajua wanauza miili yao hilo mimi halinihusu,
Mwanamke anapaswa kulelewa kudekezwa kupewa hela hata bila kuombwa nk,
sasa kama unaona ugumu kutafuta hela halafu unakuja kuanzisha nyuzi wanapenda hela basi fungua kanisa uwe mchungaji wakupe hela full stop
lolIle avatar umeitoa kumbe,ngoja nianze kuja pm
ukiombwa ela na mtu unayemjali at the right time unampa tu hakuna shida... kwanza kuna ile feeling ya mwanaume ukiwa unatatua matatizo na ku provide security unajiskia vizuri flan... tumeumbiwa kuwa providers iko hivyo hauwez kimbia uhalisia
Hivi hadi leo wanaume wanalalamika kuombwa pesa[emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app