Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
unakosea sana tofautisha mwanamke na Mke..

[emoji735]MWANAMKE hapaswi kuhudumiwa maana anajihudumia mwenyewe kwa mikono yakr na akili yake ndo maana Malaya wengi ni wanawake.

[emoji736]MKE ndo mwanamke unayepaswa kumuhudumia kwa hali na mali usiku na mchana

sasa wewe unahudumia mwanamke ujamuoa[emoji23][emoji23] anakucha anaenda kuhudumiwa milele wewe unabaki unasema bado bado kwanza kuoa[emoji23]

hizo nguvu za kumuhudumia mwanamke zitunze uje umuhudumie MKE wako na sio Mwanamke ambaye sio mali yako
Sasa punguza hasira ndugu kama hauna mpango wakumpa hela mwanamke basi acha umalaya wakuchukua namba za wanawake ambao haujawaoa maana ndio unakuja kuanzisha nyuzi wanapenda hela.
Acha umalaya sasa ili usiwe unalialia wanawake whatsapp sijui meseji za hela tu
katulie na mke wako nyumbani full stop
starehe garama
Ko unataka umtom*e mtoto wa watu burebure umesikia mitungi ya gesi inayogawishwa na waziri burebure 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Sasa punguza hasira ndugu kama hauna mpango wakumpa hela mwanamke basi acha umalaya wakuchukua namba za wanawake ambao haujawaoa maana ndio unakuja kuanzisha nyuzi wanapenda hela.
Acha umalaya sasa ili usiwe unalialia wanawake whatsapp sijui meseji za hela tu
katulie na mke wako nyumbani full stop
starehe garama
Ko unataka umtom*e mtoto wa watu burebure umesikia mitungi ya gesi inayogawishwa na waziri burebure [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

[emoji23][emoji23] kwa hiyo unataka kusema dada zetu wanauza siku hizi?
 
[emoji23][emoji23] kwa hiyo unataka kusema dada zetu wanauza siku hizi?
Sio wanauza mbona unataka ujifananishe na mwanamke wakati wewe mwanaume?
kama unaona wanafaidi sana nawewe anza kupokea tu hakuna shida

na unaposema wnajiuza kwani umesikia wao nikanisa kila muumini anaruhusiwa kuingia bure?
 
Ukimtongoza binti au mdada leo, kesho yake wewe umekua sponsor, utaambiwa gesi na umeme vimeisha, anataka hela ya saloon, mafuta ya gari na service kama hilo gari analo,na wakati mwingine ata vitu vidogo vidogo kama vouchers, yaani invoices ni nyingi mpaka unashangaa alikua anaishije kabla haujakutana nae.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahhh hiyo ndiyo sababu inayopelekea nisitongoze kabisa bora nivumilie kuwa single kuliko kusumbuliwa sumbuliwa kila saa hawa viumbe MUNGU anawaona sikuizi wamegeuza miili yao kama sehemu ya kipato inasikitisha sana.
wanafanya mahusiano sehemu ya kuvunia pesa halafu hakuna mapenzi..
Hahhh hiyo ndiyo sababu inayopelekea nisitongoze kabisa bora nivumilie kuwa single kuliko kusumbuliwa sumbuliwa kila saa hawa viumbe MUNGU anawaona sikuizi wamegeuza miili yao kama sehemu ya kipato inasikitisha sana.
 
Basi kama ni hivyo asilimia 98 ya wanawake wa Tanzania hawawapendi wanaume wao.
Maana ni karibu wanawake wote wa Tanzania wana kero hii.
Mbona mimi nikipataga wanawake wa Kenya kero hii huwa siipati?ina maana wanawake wa Kenya wananipenda na kunijali sana kuliko wadada wananchi wenzangu wa Tanzania?
Hii tabia inatia kichefuchefu sana sema wanaume tunamezea tu kimyakimya hatupendi makelele.
Hatukatai kuombwa hela ila kuna kipimo, maana haiwezekani umpe hela umpe hela weee ushindwe na wewe kujihudumia kisa tu nyapu
 
Hapo kwenye kutatua shida zake bila kukusumbua ndo kumuomba mwanaume mwenzio ambaye huyo binti hampendi kivile
[emoji1787][emoji1787] then tunarudi pale pale lazima mwanamke ataomba pesaa kwa mwanaume

Kama hamtaki kutoa pesa then toeni matumizi walau kwa wiki au mwezi..
Suzy sio kwamba hatutaki kutoa hela, hela tunatoa ila sio kila saa kila siku...
 
Back
Top Bottom