Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Tena umeitwa kipeth nimeipenda iyomfano huyu yaani Elfu 5 tu inamshinda dah Wanawake aisee Keroo sana... kwa usawa huu unaomba Elfu[emoji23] dah njaa sanaView attachment 2297807
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena umeitwa kipeth nimeipenda iyomfano huyu yaani Elfu 5 tu inamshinda dah Wanawake aisee Keroo sana... kwa usawa huu unaomba Elfu[emoji23] dah njaa sanaView attachment 2297807
Msaidie Kama unayo mwenzio kadhikkagia hiyo ya kunilainisha nitoe
Hiyo namna nyingine ipi Joseverest ? Au unataka akadange?Mwanamke ukiona anakuomba sana hela jua hajakupenda ila antaka apate tag kutoka kwako...
mwanamke anaekupenda kwa dhati hawezi kukuomba hela Kila mara kwa sababu zifuatazo.
1. Kutokana na upendo wake wa dhati kwako anaona aibu kukuomba hela hata kama anashida kiasi gani atatafuta namna nyingine ya kutatua shida yake.
2 .kutokana na upendo wake Wa dhati ataogopa kukuomba hela kwa kuhofia kukupoteza maana anajua inaweza kupelekea mwanaume kumuacha.
Ehe Kuna watu majasili jamani unatumaje pich yako ya utupu mfano tu af zikivuja mtu anajiliza Kama amefiwa na mtoto dah usitume mshikajihiyo Elfu 5 namtumia mama yangu anunue vocha sio Mwanamke ambaye anatumia watu Picha zake za Utupu kwa pesa yangu
Umeumia,, unadhani sipendi hela eti😂😂 hhehehehwewe ndo mwanamke sasa njoo PM
Waswahili kwa unafki hamjambo, sio nyie mnaokataa haki sawa, sio nyie mnaosema mwanamke asifanye kazi akae ndani analea watoto, sasa hivi mnakasirika kuombwa hela, tukisema Wanawake watolewe majumbani wakajitafutie mnatuita ma feminist,
Nyie wanaume wa kitanzania mnamkandamiza mwanamke ili muwe mnamsimanga kama hivi.
Aibu iwe juu yenu.
Ehe Kuna watu majasili jamani unatumaje pich yako ya utupu mfano tu af zikivuja mtu anajiliza Kama amefiwa na mtoto dah usitume mshikaji
Mm sitaki kuwatetea now hawa viumbe huwaga naumia SanWanatuma picha pale wamekuwa caught up na moment majuto baadae hiyo
Mm sitaki kuwatetea now hawa viumbe huwaga naumia San
Yani hii inaitwa mwanafunzi kumzidi mwalimu😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ndo wale wale[emoji16]
Mwanaume ukishajua hili basi maisha na hii jinsia yatakua mepesi sanaWell kwa ninavyowafahamu wanawake, mwanamke mwenye malengo namjua na mwanamke mbabaishaji namjua vizuri tu