Wanawake Punguzeni kutembea haraka mnakosa Mabwana wa maana

[emoji1787][emoji1787]
 
Watu wa Dar wanatembea kama mnyama ngiri,ukitembea kama mbuzi unapigwa vikumbo..angalia abiria wa mbagala,mbezi,tegeta,goms wanavyotembea kama mnyama ngiri au tembea kariakoo kila mtu yuko fasta kama ngiri tu
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Gari aina gani?? Maana isiwe una IST ndio maana akasepa haraka
 
Hahaha umenikumbusha mbali mzee ilishanitokea hiyo enzi hizo za utoto nilifukuzia lakini kwa hiyo speed ya huyo mrembo nilichoka maana mtoto alikuwa anapepea kama ngiri
 
Hahaha umenikumbusha mbali mzee ilishanitokea hiyo enzi hizo za utoto nilifukuzia lakini kwa hiyo speed ya huyo mrembo nilichoka maana mtoto alikuwa anapepea kama ngiri
[emoji1787]
 
Hahaha umenikumbusha mbali mzee ilishanitokea hiyo enzi hizo za utoto nilifukuzia lakini kwa hiyo speed ya huyo mrembo nilichoka maana mtoto alikuwa anapepea kama ngiri
Ngiri Maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…