MwanawaMUNGU41
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,036
- 737
Yaani huyo mm kabisa,kila siku hiwa nina haraka,sijuagi hata naharakia nn!!🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]Wanawake ifike mahali tembeeni pole pole sometime spidi zenu zinawakosesha Wanaume wa kuwaowa kama huyu mwenzenu
Mwezi uliopita naelekea nyumbani nikapitia njia ya Ferry ile nangia kwenye kivuko nikapaki Gari nikashuka, ile kushuka tu nikamuona binti mmoja ambae alinivutia sana na yeye akawa ananiangalia sna ila kutokana na adabu kwenda kumuongelesha mbele za watu nikaona aibu nikasema ngoja mda wakushuka nitajaribu kumfuatilia japo nlikuwa na Gari nikasema sawa cz ilikuwa mbele ila bado tukawa tunatazamana tu
Ile kushuka tu nikaona watu wa mbele ya kivuko wanakimbia sijui wanakimbilia wapi , na yeye akaunga spidi ikabidi nimfuatilie na gari nikakwama, nimeshuka najaribu kumkimbilia ile spidi nilikwama maana Gari niliiacha huku juu ningeibiwa or ingekamatwa ila yule Binti kakosa Bonge la bwana ila kila la heri kwake huenda mda huu tungekuwa tunapeleka barua kwao kama Tabia zake zingenifurahisha ila wanawake wapo wengi no way
Punguzeni mwendo shauri yenu
Unakosa mabwana[emoji1787][emoji1787]Yaani huyo mm kabisa,kila siku hiwa nina haraka,sijuagi hata naharakia nn!![emoji1787][emoji1787]
Au ndio wewe[emoji23][emoji23][emoji23]Kuishi kigamboni hakuna kuremba muda wa kutembea polepole hatuna
[emoji23][emoji23][emoji23]Watu wa Dar wanatembea kama mnyama ngiri,ukitembea kama mbuzi unapigwa vikumbo..angalia abiria wa mbagala,mbezi,tegeta,goms wanavyotembea kama mnyama ngiri au tembea kariakoo kila mtu yuko fasta kama ngiri tu
Gari aina gani?? Maana isiwe una IST ndio maana akasepa harakaWanawake ifike mahali tembeeni pole pole sometime spidi zenu zinawakosesha Wanaume wa kuwaowa kama huyu mwenzenu
Mwezi uliopita naelekea nyumbani nikapitia njia ya Ferry ile nangia kwenye kivuko nikapaki Gari nikashuka, ile kushuka tu nikamuona binti mmoja ambae alinivutia sana na yeye akawa ananiangalia sna ila kutokana na adabu kwenda kumuongelesha mbele za watu nikaona aibu nikasema ngoja mda wakushuka nitajaribu kumfuatilia japo nlikuwa na Gari nikasema sawa cz ilikuwa mbele ila bado tukawa tunatazamana tu
Ile kushuka tu nikaona watu wa mbele ya kivuko wanakimbia sijui wanakimbilia wapi , na yeye akaunga spidi ikabidi nimfuatilie na gari nikakwama, nimeshuka najaribu kumkimbilia ile spidi nilikwama maana Gari niliiacha huku juu ningeibiwa or ingekamatwa ila yule Binti kakosa Bonge la bwana ila kila la heri kwake huenda mda huu tungekuwa tunapeleka barua kwao kama Tabia zake zingenifurahisha ila wanawake wapo wengi no way
Punguzeni mwendo shauri yenu
Acha umala... nyau wwningekuja pm mkuu,,sema napoishi gari haziingii kabisa.
Unaishi wap mana mm pia n bodaboda nataka kuwa bodaboda wako 😎Hahahaha,,hii ya boda ndo zangu,si sokoni si wapi
Naomba unipe nafasi ili tuone kama kwel kizazi chako kinafanya kaziHapana mi mbaya halafu niko shapeless ila nimejaliwa kizazi, na kabila langu silijui
Dah ndo umeamua kuniitia jamaa ako [emoji17]
Ngiri MajiHahaha umenikumbusha mbali mzee ilishanitokea hiyo enzi hizo za utoto nilifukuzia lakini kwa hiyo speed ya huyo mrembo nilichoka maana mtoto alikuwa anapepea kama ngiri
Mwambie Mali za wenyewe hizo
Mali yangu MIMI[emoji81][emoji81][emoji81] Mali ya nani tena?