Franky
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 2,270
- 2,844
braza umeongea kweli,lakini umesahau kwamba,pamoja na nguruwe kuwa nasura mbaya,kitambi mdebwedo,na miguu mifupi kamapingili za miwa,lakini nyama yake inapendwa balaa,ata wale jamaa wasiomla,baadhi yao wanamla kwa siri sana ingawa wanajua ni dhambi,,,,ndo manake hawaja jamaa na mijimama wenye vitambi sura mbaya lakini ela ipo,,,,huwa madem au vijana wanawadanganya kwamba "babie,tusiende sehemu sa watu wengi naogopa utaibiwa,wewe lipia chumba 2kanyanduane tu,mimi sitaki bia walachakula,mimi nakutaka wewe tu ukaninyandue,chukua chumba bhanaaaaaaaaaaaaaaa!!! [kumbe wanaona aibu}...the same kiti moto au nguruwe anavoliwa kwa siri na wale jamaa wanaomla ingawa wanajua ni haram na imekatazwa.
Hahahaha dah sema watu Wana moyo sana, niache kutoka na watoto wazuri ngozi soft umri under age nikabebe kifutu, kibonge, ancient creature for what?