Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #21
Mfalme Yuko uchiSifa zikizidi basi msifiaji mara nyingi huwa anaongea mpaka mambo ya hovyo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfalme Yuko uchiSifa zikizidi basi msifiaji mara nyingi huwa anaongea mpaka mambo ya hovyo!
Mwenyewe pia hajuiBold kubwa,kwanza jifunze kuandika!
Kingine hao akina mama ni kweli walisema hivyo au hawakusema?unakubali nini unakataa nini toa maelezo.
Kweri ni huongo mutupu, hii kiripu ni ya kabula ya zialaHuongo mtupu, hiyo clip wiki 2 kabla ya ziara ya Rais ilishaanza kutembea na kama sikosei wako Shinyanga.
🤣🤣🤣🤣🤣💺 Hakika matamshi Yale yamedhihirisha uwezo wa viongozi wetu.Mfalme Yuko uchi
🤣🤣🤣🤣💺Aibu nimeona mimi
Bora isingekuwa mahomeboy dangisi ingekuwa hata kusini au kagera huko duh nitaificha wapi sura yangu tumeonyesha unyanga mtupu🤣🤣🤣🤣💺
Mama zetu hao bana.Hao mbwa wanazaga ngono/kutiwa tu
Pole mkuu.Bora isingekuwa mahomeboy dangisi ingekuwa hata kusini au kagera huko duh nitaificha wapi sura yangu tumeonyesha unyanga mtupu
Wakimaliza hapo wanafunga safari kwenda kutafuta Maji kilomita za kutoshaBora isingekuwa mahomeboy dangisi ingekuwa hata kusini au kagera huko duh nitaificha wapi sura yangu tumeonyesha unyanga mtupu
Dah inafikirisha sanaMungu ipi ilikuwa sababu kunileta katika taifa hili
Singida ndiyo Sodoma na Gomorrah ya TanzaniaKama Nchi tulipofika Sasa tuwe tunachagua watu wa kuongea aiseeee, hizi Sifa zikizidi ni ujinga na matusi! Eti Wanawake wa Singida wanamshukuru Samia kwakua Sasa wamepata maji ndoa zimeimarika wanapata na "kile Cha asubuhi"! Ujinga mtupu
View attachment 2785840
🤣🤣🤣🤣 mama wa watu kasema ukweli!Kama Nchi tulipofika Sasa tuwe tunachagua watu wa kuongea aiseeee, hizi Sifa zikizidi ni ujinga na matusi! Eti Wanawake wa Singida wanamshukuru Samia kwakua Sasa wamepata maji ndoa zimeimarika wanapata na "kile Cha asubuhi"! Ujinga mtupu
View attachment 2785840
🤣🤣🤣🤣Kama Nchi tulipofika Sasa tuwe tunachagua watu wa kuongea aiseeee, hizi Sifa zikizidi ni ujinga na matusi! Eti Wanawake wa Singida wanamshukuru Samia kwakua Sasa wamepata maji ndoa zimeimarika wanapata na "kile Cha asubuhi"! Ujinga mtupu
View attachment 2785840
Nashangaa hata Mie hicho sio Kiswahili anachoongea mnyaturu sio lafudhwi yaoHuongo mtupu, hiyo clip wiki 2 kabla ya ziara ya Rais ilishaanza kutembea na kama sikosei wako Shinyanga.
Bora isingekuwa mahomeboy dangisi ingekuwa hata kusini au kagera huko duh nitaificha wapi sura yangu tumeonyesha unyanga mtupu