Wanawake Singida wamshukuru Samia Kwa "Cha Asubuhi"

Wanawake Singida wamshukuru Samia Kwa "Cha Asubuhi"

Kama huyo Mama yenu mpuudhi mwingine uliyesema anafurahi kuwaona wanawake wa singida wanameremeta sijui wanangaa Kwa sababu wanaoga sana kwani hakuna shida ya maji ndio wamemjibu sasa na pia cha saa kumina moja wanapata mijitu imeshindwa kuzuiwa bilion 75 zisiliwe inajiongeleshaga ujinga tu
 
Kama Nchi tulipofika Sasa tuwe tunachagua watu wa kuongea aiseeee, hizi Sifa zikizidi ni ujinga na matusi! Eti Wanawake wa Singida wanamshukuru Samia kwakua Sasa wamepata maji ndoa zimeimarika wanapata na "kile Cha asubuhi"! Ujinga mtupu
View attachment 2785840
🤣🤣🤣🤣 mama wa watu kasema ukweli!
Kama Nchi tulipofika Sasa tuwe tunachagua watu wa kuongea aiseeee, hizi Sifa zikizidi ni ujinga na matusi! Eti Wanawake wa Singida wanamshukuru Samia kwakua Sasa wamepata maji ndoa zimeimarika wanapata na "kile Cha asubuhi"! Ujinga mtupu
View attachment 2785840
🤣🤣🤣🤣
 
Bora isingekuwa mahomeboy dangisi ingekuwa hata kusini au kagera huko duh nitaificha wapi sura yangu tumeonyesha unyanga mtupu


Na wewe homeboy unaamini huyo ni Mama wa Singida?

Ziara ya Mheshimiwa imefanyika Singida huku tayari hiyo clip ipo kitambo, haihusiani kabisa na hii ziara, wametubambikizia tu.

Amucha
 
Back
Top Bottom