Wanawake tajeni top 10 ya I'd za kiume zenye majina mazuri...

Si kwa utumbo ninaoandikagaπŸ˜‚
Jukwaa naloliheshimu ni jamii intelligence,uchumi na biashara,afya namengine kwa mbali!!

Huko kwenye habari mchanganyiko huwa nami nachanganyikiwa hivyohivyoπŸ˜‚
 
Sesten Zakazaka zuri sana hili jina la huyu mzee mwenzangu yaani kuna kipindi alifanya hadi nikatamani na mimi nijiite Shadeeya Zakazaka. 🀣🀣🀣🀣

Mana nililipenda tu hilo jina.
Asante Shadeeya na wala hujachelewa ujueπŸ€ͺ

Tena ngoja nikwambie mamii, huyu Zakazaka alikua ni beki kisiki wa kati wa timu ya Taifa ya Malawi akicheza kati sanjari kabisa na aliyewahi kua kocha wenu Wananchi na pia Prisons ya Mbeya Jack Lloyd Chamangwana. Penda jina lake na mpende mwenyewe wala usipepeseπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺ
 
Huyo namba tatu mi mwenyewe ananifurahishaga sana na comments zake, usipomtaja huyo kaka yako siku yako haikamiliki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… hivyo wasema sijachelewa eee?


NAJUA WAJUA SES. 😍😍
 
Ndio majina ya Kipwani hayo, utadhani yametiwa hiliki na mdalasini, yaani sharti yananukiaaa kama asmini, waijua asmini Shadeeya?
Hahahaa!! Sijakuchekesha basi siku moja napita sehemu nasikia mtu anaita Shadeeya niligeuka baadae nakuja gundua sio mimi nilishushukaje. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Nalijua asumin ndio. Lanukia hasaa.
 
Hahahaa!! Sijakuchekesha basi siku moja napita sehemu nasikia mtu anaita Shadeeya niligeuka kwa kasi ya ajabu baadae nakuja gundua sio mimi nilishushukaje. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Nalijua asumin ndio. Lanukia hasaa.
Si unaona sasa? Pengine wala hakuwepo Shadeeya mwingine zaidi yako, sema ni ile harufu nzuri ya jina lako na wewe mwenyewe umbo lako lilivyo "Mashaallah" basi mtu akajikuta anaita tu SHADEEYAπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺ

Wala usingefadhaika mamii ni sifa kubwa sana hiyo
 
Ngoja nikacheke kwanza Ses. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Ngoja nikacheke kwanza Ses. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Cheka mamii, cheka. Kuna watu wamejaaliwa jamani. Kuanzia jina, na yeye mwenyewe hadi tabia vyote ni dhahabu tupu😍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…