Wanawake tuambieni kuhusu kauli yenu ya ‘Mwanaume hata umpe nini haridhiki’. Hiyo ‘nini’ ni kitu gani?

Wanawake tuambieni kuhusu kauli yenu ya ‘Mwanaume hata umpe nini haridhiki’. Hiyo ‘nini’ ni kitu gani?

Au utasikia wanasema sijui kwangu amekosa nn unabaki unajiuliza kwan ana nini na nini anachonipa 😀
Wanatakiwa wajue kila mwanamke ana taste yake 🍻
 
Back
Top Bottom