Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
HayaHapana situmii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HayaHapana situmii
Kutaka kiswahili fasaha kwa muhaya ni sawa na kusubiri embe chini ya mkorosho
Kwa mawazo yako potofu unataka kusema hiyo "Nini" wanamaanisha "MATAKO"?Hivi Mwanamke akisema hata Mwanaume umpe umpe nini haridhiki, hiyo ‘nini’ humaanisha kitu gani?
Tuambieni hizo nini ni nini basi. Kama hamsemi mtaendelea kuita wanaume wote ni Mbwa.
Mi ni mpenzi mtazamaji tu wa huu mjadala, kazi kwenu akinamama
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
We msomali??Jamani [emoji28][emoji28] Ni ukarimu tu