Hahahahahahahatimaye umekuja.
Nataka kuona jibu lako Kigori.
Kumbe upo singleSi mbaya kuwa kwenye mahusiano na mwanaume maana inapaswa iwe hivyo
Lakini kwa wanawake tulio single tuwe makini sana
Unapochagua kuishi pekee yako kwenye nyumba yako uliyopanga au uliyojenga usidhubutu kamwe kumkaribisha mwanaume nyumbani kwako hasa mpenzi wako
Bora uwe unaenda kwake kuliko yeye kuja kwako
Na pia usikubali akupangishie ni kosa kubwa sana na hilo bora upange mwenyewe ila kama ni kumuomba hela ya pango uwe unamuomba kwa njia nyingine ila usimwambie ni pango itakuwa kero hapo nyumbani kwako
Yafuatayo yanaweza kukupata kama utaruhusu kinyume chake hapo juu
1,Mwanaume ni lamba lamba ,leo utamkaribisha kwako kesho amekuacha ,ni aibu iliyoje hicho kitanda kulaliwa na wanaume tofauti tofauti kila mara bora yeye awe anabadilisha wanawake kwake kuliko wewe mwanamke
2,Ni marufuku mwanaume yeyote kuja kukusalimia kwako hata kama hampo naye kwenye mahusiano ,akikukuta na mwanaume mwingine ndani utakuwa ugomvi wa hatari,na wanaweza akakuumiza akihisi aliye kukuta naye ni mpenzi
3,Mwanaume atadhani amekuoa,yaani hapo kwako itakuwa kwake,atakutawala balaa,na atakuwa anawaleta marafiki zake hapo kwako,kazi yako ni kupikia mashem
4,Na kama ni mume wa mtu, dunia haina siri,unaweza ukakamatwa ugoni ikawa shida
5,Kama umemchoka mwanaume na unataka uachane naye inakuwa ngumu kumuacha maana kila dakika atakuja kwako ,utakuwa unamkuta kitandani kwako amelala hata unune kiasi gani hawezi akaondoka,ugomvi ugomvi ambao utakuwa unaumia wewe
6,Wanaume walivyowajinga ukishamkaribisha kwako anawatangazia wanaume wengine ubabe wa kuonekana kwangu ,na hujionyesha kwa majirani kuwa yeye ndo baba mwenye nyumba
7,Wengine mkikosana atataka akunyang'anye vyombo au assets ambazo umenunua mwenyewe au alikununulia na kukuebisha
Wanawake tushituke,tusifanye makosa
Kama hujawa wa kuolewa ila unataka kuwa na mpenzi,mkutane huko hotel au kwake kama na yeye yupo single lakini kwako usije ukadhubutu ,utaumia na utakwama sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kigori hunipendi😌Hahahahahaha
Handsome, nitacoment baadae
Yaani najiona kama mimi ndiye niliyeandika![emoji28][emoji28][emoji28] Point tupu.Huu ndio ukweliKwa staili hii bado mtafeli sana wanaume si wajinga kiasi hicho, labda wavulana! Huwa hatujengi kibanda, siku ya kwanza nikikaa na wewe dakika tatu zanitosha kujua hapa nimekutana na mkali kwanza, jambazi, mwehu, tegemezi, tapeli, ama wife material, baada ya hapo nitajua niende na wewe vipi, sisi tunawinda lakini wanawake ni wawindaji wazuri zaidi. Ukilijua hili mambo ni laini kabisa, unaweza kuwa ktk mahusiano japo huusiani nayo kivile.
John nimekuelewa zaidi Man! Tupo pamojaYaani najiona kama mimi ndiye niliyeandika![emoji28][emoji28][emoji28] Point tupu.Huu ndio ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
MmmmhYaani najiona kama mimi ndiye niliyeandika![emoji28][emoji28][emoji28] Point tupu.Huu ndio ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kunielewaNi wazo zuri. Na Vema wanawake wakafuata hayo.
Ila Mapenzi haya, ni vema ukayamaliza mapeeeema, sio una miaka 35 bado unawaza/kufanya mambo ya namna hiyo juu...
Hii inawahusu wanaume wenzangu.
Cute love! Nichallenge
Na hapo ndipo pabayaUmeongea kweli tupu halafu wasivyo jishtukia anataka mgawane funguo [emoji2][emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dina wakati mwingine msifu na anayekukimbiza
Si mbaya kuwa kwenye mahusiano na mwanaume maana inapaswa iwe hivyo
Lakini kwa wanawake tulio single tuwe makini sana
Unapochagua kuishi pekee yako kwenye nyumba yako uliyopanga au uliyojenga usidhubutu kamwe kumkaribisha mwanaume nyumbani kwako hasa mpenzi wako
Bora uwe unaenda kwake kuliko yeye kuja kwako
Na pia usikubali akupangishie ni kosa kubwa sana na hilo bora upange mwenyewe ila kama ni kumuomba hela ya pango uwe unamuomba kwa njia nyingine ila usimwambie ni pango itakuwa kero hapo nyumbani kwako
Yafuatayo yanaweza kukupata kama utaruhusu kinyume chake hapo juu
1,Mwanaume ni lamba lamba ,leo utamkaribisha kwako kesho amekuacha ,ni aibu iliyoje hicho kitanda kulaliwa na wanaume tofauti tofauti kila mara bora yeye awe anabadilisha wanawake kwake kuliko wewe mwanamke
2,Ni marufuku mwanaume yeyote kuja kukusalimia kwako hata kama hampo naye kwenye mahusiano ,akikukuta na mwanaume mwingine ndani utakuwa ugomvi wa hatari,na wanaweza akakuumiza akihisi aliye kukuta naye ni mpenzi
3,Mwanaume atadhani amekuoa,yaani hapo kwako itakuwa kwake,atakutawala balaa,na atakuwa anawaleta marafiki zake hapo kwako,kazi yako ni kupikia mashem
4,Na kama ni mume wa mtu, dunia haina siri,unaweza ukakamatwa ugoni ikawa shida
5,Kama umemchoka mwanaume na unataka uachane naye inakuwa ngumu kumuacha maana kila dakika atakuja kwako ,utakuwa unamkuta kitandani kwako amelala hata unune kiasi gani hawezi akaondoka,ugomvi ugomvi ambao utakuwa unaumia wewe
6,Wanaume walivyowajinga ukishamkaribisha kwako anawatangazia wanaume wengine ubabe wa kuonekana kwangu ,na hujionyesha kwa majirani kuwa yeye ndo baba mwenye nyumba
7,Wengine mkikosana atataka akunyang'anye vyombo au assets ambazo umenunua mwenyewe au alikununulia na kukuebisha
Wanawake tushituke,tusifanye makosa
Kama hujawa wa kuolewa ila unataka kuwa na mpenzi,mkutane huko hotel au kwake kama na yeye yupo single lakini kwako usije ukadhubutu ,utaumia na utakwama sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabsa troublemaker wanaofanya hayo mambo ni wavulana...Hata hivyo wanaume tulio wengi hapo mengi hatuwezi kufanya.