Ukweli mtupu,ninachokupendea unapoibuka unaibuka na chuma🤜sana cuteNimegundua ndoa nyingi hazidumu kwa sababu wanawake wengi wameingia kwenye ndoa na wanaume waliokuwa tayari kuwaoa na sio wale wenye mapenzi ya dhati kwao.
Inatokea unampenda mwanaume ila hakuoi .anatokea mwingine anatangaza ndoa inabidi ukubali .muda nao haucheleweshi matokeo
Ndoa inakuwa ndoana maana hakuna feelings wala nidhamu
Ni ngumu mwanamke kusex na mtu asiempenda,ni ngumu kumuheshimu mwanaume usiempenda .
Mbaya zaidi itokee huyo mwanaume alipendewa fedha na fedha imeisha ,basi hyo ndoa ni inakuwa jehanum kabisa
Yaani jamii ikikukomalia utajuta.Shida kubwa ni kushindwa kuhimili pressure tunazokumbana nazo kwenye jamii, na kujiona umri unakimbia.
Nyumbani kila siku uulizwe unaolewa lini wenzio wanaolewa tu, utafkiri we ndo unaamua sasa naolewa.
Bado hujaja kwa marafiki (wale wenye marafiki kama utitiri na asilimia kubwa wawe wameolewa) kila leo nao wakukomalie mara olewa shosti sa sijui ukaolewe mke wa pili na mume wake [emoji57]
sasa kama hujielewi nawewe ndo unajitumbukiza tu popote ilimradi kasema ndoa ili tu wakuone naweqe kumbe unaweza kuolewa, kumbe maskini unayeenda kuolewa naye hisia naye tu hunaaa.
Wadada tufanye mambo mengine hizo ndoa zitukutage mbeleni tusikimbilie too sad wengine mpaka tunajioa, yani ukampe mwanaume hela akulipie mahari upuuzi wa kiwango cha lami.
Mamkubwa zangu walishaniulizaga unaolewa lini nikawajibu, kama raha kuolewa waolewe mara ya pili ila tusiulizane mambo ambayo siamui mimi ebooo.
Yeah hapo ndio Balaa Linapo anziaMoyo nao unazingua .unagoma kabisa kumpenda .sasa hapo ndo majanga
Wengine wameanza na katabia ka kusema "basi Zaa hata upate mtoto tu kama mume hupati"Yaani jamii ikikukomalia utajuta.
Hasa mashangazi wa shangazi kaja
Tena wanakuambia kabisa zaa tutalea tupe mtotoWengine wameanza na katabia ka kusema "basi Zaa hata upate mtoto tu kama mume hupati"
Ni mtihani sanaShida kubwa ni kushindwa kuhimili pressure tunazokumbana nazo kwenye jamii, na kujiona umri unakimbia.
Nyumbani kila siku uulizwe unaolewa lini wenzio wanaolewa tu, utafkiri we ndo unaamua sasa naolewa.
Bado hujaja kwa marafiki (wale wenye marafiki kama utitiri na asilimia kubwa wawe wameolewa) kila leo nao wakukomalie mara olewa shosti sa sijui ukaolewe mke wa pili na mume wake [emoji57]
sasa kama hujielewi nawewe ndo unajitumbukiza tu popote ilimradi kasema ndoa ili tu wakuone nawewe kumbe unaweza kuolewa, kumbe maskini unayeenda kuolewa naye hisia naye tu hunaaa.
Wadada tufanye mambo mengine hizo ndoa zitukutage mbeleni tusikimbilie too sad wengine mpaka tunajioa, yani ukampe mwanaume hela akulipie mahari upuuzi wa kiwango cha lami.
Mamkubwa zangu walishaniulizaga unaolewa lini nikawajibu, kama raha kuolewa waolewe mara ya pili ila tusiulizane mambo ambayo siamui mimi ebooo.
Kweli kabisa. Huwezi kumuheshimu mwanaume usiempenda.
Tena wanakuambia kabisa zaa tutalea tupe mtoto
Sasa kwa nini mnakubali kuolewa hamjapenda?mkipigwa risasi muanze kulia lia 😝Nimegundua ndoa nyingi hazidumu kwa sababu wanawake wengi wameingia kwenye ndoa na wanaume waliokuwa tayari kuwaoa na sio wale wenye mapenzi ya dhati kwao.
Inatokea unampenda mwanaume ila hakuoi .anatokea mwingine anatangaza ndoa inabidi ukubali .muda nao haucheleweshi matokeo
Ndoa inakuwa ndoana maana hakuna feelings wala nidhamu
Ni ngumu mwanamke kusex na mtu asiempenda,ni ngumu kumuheshimu mwanaume usiempenda .
Mbaya zaidi itokee huyo mwanaume alipendewa fedha na fedha imeisha ,basi hyo ndoa ni inakuwa jehanum kabisa
Upo sahihi 100% mfano hai mimi kuna mrembo mmoja nilikua nae kwenye mahusiano na tunapendana haswaa, sasa mimi mipango yangu sio kuoa kwa sasa na mdogo wake mwaka jana aliolewa, wazazi wake na ndugu wamemforce san aolewe kila siku ananiomba ata mahari tuchangie ila ratiba zangu haziruhusu kuoa sasa kuna jamaa kaenda kutoa posa na bint kakubali kutokana na hali ya wazazi kumlazimisha ila pale kwa kweli sioni ndoa maana bint kila siku ananitafuta na anasema ata akiolewa atanizalia imebidi nimpige stop kunitafuta acocentrate na ndoa yake tarajiwa ila bado akili yake ipo kwangu mda wote.
Mmepata watoto sita na wote mwanamke hajachepuka! Halafu bado mnasema mwanamke hampendi mumewe! Kweli?Huwezi kumuheshimu mwanaume usiempenda.
Na nitamjuaje mwanamke anayenipenda? Ili nimwoe
Fikiri kabla ya kutenda
Mmepata watoto sita na wote mwanamke hajachepuka! Halafu bado mnasema mwanamke hampendi mumewe! Kweli?
Wengine wana watoto 13 kabisa Lakini mume haheshimiwi analazimika kwenda kupata mwanamke mwingine!!!
Sasa ni heshima ya namna gani hiyo inayofungamana na Upendo wa mwanamke kwa mume wake?
Natanguliza Shukrani kwa majibu yenu.
Hahaha kuna mtoto wa dada aliulizwa unaolewa lini, akajibu nikiolewa kwani nyie mnafaidika nini? Mpaka leo hakuna aliyeuliza tena swali kama hiloShida kubwa ni kushindwa kuhimili pressure tunazokumbana nazo kwenye jamii, na kujiona umri unakimbia.
Nyumbani kila siku uulizwe unaolewa lini wenzio wanaolewa tu, utafkiri we ndo unaamua sasa naolewa.
Bado hujaja kwa marafiki (wale wenye marafiki kama utitiri na asilimia kubwa wawe wameolewa) kila leo nao wakukomalie mara olewa shosti sa sijui ukaolewe mke wa pili na mume wake 😏
sasa kama hujielewi nawewe ndo unajitumbukiza tu popote ilimradi kasema ndoa ili tu wakuone nawewe kumbe unaweza kuolewa, kumbe maskini unayeenda kuolewa naye hisia naye tu hunaaa.
Wadada tufanye mambo mengine hizo ndoa zitukutage mbeleni tusikimbilie too sad wengine mpaka tunajioa, yani ukampe mwanaume hela akulipie mahari upuuzi wa kiwango cha lami.
Mamkubwa zangu walishaniulizaga unaolewa lini nikawajibu, kama raha kuolewa waolewe mara ya pili ila tusiulizane mambo ambayo siamui mimi ebooo.
Jifunze kupenda acha ujinga!Nimegundua ndoa nyingi hazidumu kwa sababu wanawake wengi wameingia kwenye ndoa na wanaume waliokuwa tayari kuwaoa na sio wale wenye mapenzi ya dhati kwao.
Inatokea unampenda mwanaume ila hakuoi .anatokea mwingine anatangaza ndoa inabidi ukubali .muda nao haucheleweshi matokeo
Ndoa inakuwa ndoana maana hakuna feelings wala nidhamu
Ni ngumu mwanamke kusex na mtu asiempenda,ni ngumu kumuheshimu mwanaume usiempenda .
Mbaya zaidi itokee huyo mwanaume alipendewa fedha na fedha imeisha ,basi hyo ndoa ni inakuwa jehanum kabisa