Wanawake tunaolewa na walio tayari kwa ndoa

Wanawake tunaolewa na walio tayari kwa ndoa

Nisikilize madam !!Maisha unatakiwa kuwa na mpenzi mshkaji halafu mnapendana hatar hii itasaidia kutobagua dini wala kabila yaani una mshkaji mnapendana hata kuzaa mnazaa ila mnaweza msifunge ndoa hata miaka 10 mkawa mnaishi hata kama mna dini tofauti tatizo lenu wasichana watu mlikuwa nao kweny umri sawa yaani age mates mnawaona labda watoto mnaangukiwa kwa mizee mwisho wa siku kama unaishi na baba ako.
Upo sahihi

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
 
Shida kubwa ni kushindwa kuhimili pressure tunazokumbana nazo kwenye jamii,

Wadada tufanye mambo mengine hizo ndoa zitukutage mbeleni tusikimbilie too sad wengine mpaka tunajioa, yani ukampe mwanaume hela akulipie mahari upuuzi wa kiwango cha lami.
Mamkubwa zangu walishaniulizaga unaolewa lini nikawajibu, kama raha kuolewa waolewe mara ya pili ila tusiulizane mambo ambayo siamui mimi ebooo.

Jeuri sio kitu kizuri kwa wakubwa zako...ungewajibu kiustaarabu wala usingepungukiwa kitu...na hata uwe na fedha na elimu bila kuwa na mume kuna heshima fulani kijamii unaikosa.
 
Nisikilize madam !!Maisha unatakiwa kuwa na mpenzi mshkaji halafu mnapendana hatar hii itasaidia kutobagua dini wala kabila yaani una mshkaji mnapendana hata kuzaa mnazaa ila mnaweza msifunge ndoa hata miaka 10 mkawa mnaishi hata kama mna dini tofauti tatizo lenu wasichana watu mlikuwa nao kweny umri sawa yaani age mates mnawaona labda watoto mnaangukiwa kwa mizee mwisho wa siku kama unaishi na baba ako.
Alafu mkiwa washkaji Raha sana
 
Dah!
Naendelea kusoma comments
 
Lkn ikiwa hivo mwisho wake sio nzuri
Sio kweli akili ya mwanadamu imepewa uwezo Mkubwa wa ku-learn na kuushawishi moyo na mwili maisha ni yako uchague kusuka au kunyoa

Mambo mengi tunayoyafanya mfano kazi n.k sio Yale tulivyokua wadogo tulikua tuna-dream kuyafanya tukiwa wakubwa, lakin circumstances za maisha zimetufanya tufanye vitu ambavyo hatukuwahi kuvifikiria
 
Shida kubwa ni kushindwa kuhimili pressure tunazokumbana nazo kwenye jamii, na kujiona umri unakimbia.
Nyumbani kila siku uulizwe unaolewa lini wenzio wanaolewa tu, utafkiri we ndo unaamua sasa naolewa.

Bado hujaja kwa marafiki (wale wenye marafiki kama utitiri na asilimia kubwa wawe wameolewa) kila leo nao wakukomalie mara olewa shosti sa sijui ukaolewe mke wa pili na mume wake 😏
sasa kama hujielewi nawewe ndo unajitumbukiza tu popote ilimradi kasema ndoa ili tu wakuone nawewe kumbe unaweza kuolewa, kumbe maskini unayeenda kuolewa naye hisia naye tu hunaaa.

Wadada tufanye mambo mengine hizo ndoa zitukutage mbeleni tusikimbilie too sad wengine mpaka tunajioa, yani ukampe mwanaume hela akulipie mahari upuuzi wa kiwango cha lami.
Mamkubwa zangu walishaniulizaga unaolewa lini nikawajibu, kama raha kuolewa waolewe mara ya pili ila tusiulizane mambo ambayo siamui mimi ebooo.
😂
 
Kiukweli wame zenu Ni wale mliowapa uschana wenu😎

Nyie mnaliwa na mnao waheshimu iwe ni kimuonekano,Fikra zenu even material things au status.
wahuni( Manipulators ) wanajiweka vile mnavyo watafsiri wawatafune.
 
Back
Top Bottom