Wanawake tunaolewa na walio tayari kwa ndoa

Wanawake tunaolewa na walio tayari kwa ndoa

Upo sahihi 100% mfano hai mimi kuna mrembo mmoja nilikua nae kwenye mahusiano na tunapendana haswaa, sasa mimi mipango yangu sio kuoa kwa sasa na mdogo wake mwaka jana aliolewa, wazazi wake na ndugu wamemforce san aolewe kila siku ananiomba ata mahari tuchangie ila ratiba zangu haziruhusu kuoa sasa kuna jamaa kaenda kutoa posa na bint kakubali kutokana na hali ya wazazi kumlazimisha ila pale kwa kweli sioni ndoa maana bint kila siku ananitafuta na anasema ata akiolewa atanizalia imebidi nimpige stop kunitafuta acocentrate na ndoa yake tarajiwa ila bado akili yake ipo kwangu mda wote.
Lazma kiporo kikae kwenye microwave
 
Tunaowapenda hawatupendi wanaotupenda hatuwapendi📌
Wahalifu kwenye hili ni wanawake... Wanaume ni wahanga tu!
Kwa kawaida mwanaume anachagua kuoa mwanamke anayependa. Tatizo ni pale mwanamke husika anakubali, kumbe Hana mapenzi yoyote kwa huyo mume!!!
 
Yaani jamii ikikukomalia utajuta.
Hasa mashangazi wa shangazi kaja
Jamii inakomalia kwa nia njema kabisa hakuna mzazi au ndugu wanaopenda wasicha wao wasilelewe, binti akishaolewa wazazi presha inaisha na makaka wana furahi.
 
Mwanamke toka zamani anatii mwanaume ndo anapenda mwanamke hajapewa mamlaka hayo na muumba mwenyewe hyo ni nature maana angepewa hayo mamlaka dunia isingekalika.
 
Nimegundua ndoa nyingi hazidumu kwa sababu wanawake wengi wameingia kwenye ndoa na wanaume waliokuwa tayari kuwaoa na sio wale wenye mapenzi ya dhati kwao.
Inatokea unampenda mwanaume ila hakuoi .anatokea mwingine anatangaza ndoa inabidi ukubali .muda nao haucheleweshi matokeo
Ndoa inakuwa ndoana maana hakuna feelings wala nidhamu
Ni ngumu mwanamke kusex na mtu asiempenda,ni ngumu kumuheshimu mwanaume usiempenda .
Mbaya zaidi itokee huyo mwanaume alipendewa fedha na fedha imeisha ,basi hyo ndoa ni inakuwa jehanum kabisa
Fact!.
 
Ajabu ni kwamba mwanamke anafundishwa kupenda

"Wanawake watu wazima wafundishen wanawake wawapende waume zao"
Si kazi ya wanawake watu wazima kuwafundisha wanawake kupenda, waume zao Bali n kazi ya mumewe kulingana na anavyomtreat mkewe
 
Sio kweli akili ya mwanadamu imepewa uwezo Mkubwa wa ku-learn na kuushawishi moyo na mwili maisha ni yako uchague kusuka au kunyoa

Mambo mengi tunayoyafanya mfano kazi n.k sio Yale tulivyokua wadogo tulikua tuna-dream kuyafanya tukiwa wakubwa, lakin circumstances za maisha zimetufanya tufanye vitu ambavyo hatukuwahi kuvifikiria
Real lkn mapenz yawe km yalivo tukiyageuza mwisho wake ni kuuana sabbu kunakuwa hakuna upendo Wala huruma
 
Wakosefu kwenye hili ni wanawake.
Kwa kawaida mwanaume anachagua kuoa mwanamke anayependa. Tatizo ni pale mwanamke husika anakubali, kumbe Hana mapenzi yoyote kwa huyo mume!!!
Na kupnda pia sio kazi yetu ndo maana tunaumiasana mwanmke anatakiwa amuheshimu na amtii mwanaume mwanaume ndo antakiwa ampende mwanamke ila tuna kiherehere tu 😄
 
Kweli kabisa. Huwezi kumuheshimu mwanaume usiempenda.
Wenyewe wanatuambia wanawake hatujaumbiwa kupenda, Where! Which! When!!! Eti tumeumbwa kutii wapi??? Nakazia, huwezi mheshimu wala kumtii usiyempenda.

Sisi wanawake tukipenda safi sana, tunaheshimu, tunatii na wala sio wabinafsi.

Matatizo mengi yanayoendelea ni sababu ya watu kuolewa na wasio watu wao. Wanaolewa for sake of it, acha tuendelee kusikia matukio.
 
Tenaa sisi wanawakee ni mabingwaa wa kupretend kupendaa..Ila mjuee tu kwamba tunawezaa kuolewaa lkn Kuna mtuu anakuwaa ameutekaa kbsaa moyooo yaan ule upendo wa ndani kbsaaaa..Na hakuna kitu utawezaa kubadilisha lkn tunaweza kuwepo kwenye ndoa kiroho Safi kbsaa lkn tunapendaa kwingineee☺️☺️
 
Tenaa sisi wanawakee ni mabingwaa wa kupretend kupendaa..Ila mjuee tu kwamba tunawezaa kuolewaa lkn Kuna mtuu anakuwaa ameutekaa kbsaa moyooo yaan ule upendo wa ndani kbsaaaa..Na hakuna kitu utawezaa kubadilisha lkn tunaweza kuwepo kwenye ndoa kiroho Safi kbsaa lkn tunapendaa kwingineee☺️☺️
Ndo option mliokuwa nayo sababu hamjapewa uthubutu wa kutongoza na kuanzisha familia
 
Shida kubwa ni kushindwa kuhimili pressure tunazokumbana nazo kwenye jamii, na kujiona umri unakimbia.
Nyumbani kila siku uulizwe unaolewa lini wenzio wanaolewa tu, utafkiri we ndo unaamua sasa naolewa.

Bado hujaja kwa marafiki (wale wenye marafiki kama utitiri na asilimia kubwa wawe wameolewa) kila leo nao wakukomalie mara olewa shosti sa sijui ukaolewe mke wa pili na mume wake [emoji57]
sasa kama hujielewi nawewe ndo unajitumbukiza tu popote ilimradi kasema ndoa ili tu wakuone nawewe kumbe unaweza kuolewa, kumbe maskini unayeenda kuolewa naye hisia naye tu hunaaa.

Wadada tufanye mambo mengine hizo ndoa zitukutage mbeleni tusikimbilie too sad wengine mpaka tunajioa, yani ukampe mwanaume hela akulipie mahari upuuzi wa kiwango cha lami.
Mamkubwa zangu walishaniulizaga unaolewa lini nikawajibu, kama raha kuolewa waolewe mara ya pili ila tusiulizane mambo ambayo siamui mimi ebooo.
Absolutely!
 
Wenyewe wanatuambia wanawake hatujaumbiwa kupenda, Where! Which! When!!! Eti tumeumbwa kutii wapi??? Nakazia, huwezi mheshimu wala kumtii usiyempenda.

Sisi wanawake tukipenda safi sana, tunaheshimu, tunatii na wala sio wabinafsi.

Matatizo mengi yanayoendelea ni sababu ya watu kuolewa na wasio watu wao. Wanaolewa for sake of it, acha tuendelee kusikia matukio.
Nashangaa kbsaa eti hatujaumbiwaa kupendaa sio kwelii tena tukipendaa ni watulivu mno tunakuwa hot kbsaa na very romantic..hatuna papara wala visirani
 
Back
Top Bottom