feitty
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 2,594
- 4,189
Mnanikatisha tamaa mbona mimi nna mpango wakujilipuaHili ulilo liongea ni kweli kabisa 100%
Wanawake wengi wameolewa ktk ndoa za design hiyo Huwa wanasema nitampenda mume wangu ndani ya ndoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnanikatisha tamaa mbona mimi nna mpango wakujilipuaHili ulilo liongea ni kweli kabisa 100%
Wanawake wengi wameolewa ktk ndoa za design hiyo Huwa wanasema nitampenda mume wangu ndani ya ndoa
Mtoa mada naunga mkono hoja and vice versa ata sis wanaume unakuta unaempenda ana nyodo anaamua kuoa aliyepo kwa vigezo vya tabia maisha yaende mbele
Wanaboa sana.Hahaha kuna mtoto wa dada aliulizwa unaolewa lini, akajibu nikiolewa kwani nyie mnafaidika nini? Mpaka leo hakuna aliyeuliza tena swali kama hilo
Hizi bahati wenzetu mnazipataje?Upo sahihi 100% mfano hai mimi kuna mrembo mmoja nilikua nae kwenye mahusiano na tunapendana haswaa, sasa mimi mipango yangu sio kuoa kwa sasa na mdogo wake mwaka jana aliolewa, wazazi wake na ndugu wamemforce san aolewe kila siku ananiomba ata mahari tuchangie ila ratiba zangu haziruhusu kuoa sasa kuna jamaa kaenda kutoa posa na bint kakubali kutokana na hali ya wazazi kumlazimisha ila pale kwa kweli sioni ndoa maana bint kila siku ananitafuta na anasema ata akiolewa atanizalia imebidi nimpige stop kunitafuta acocentrate na ndoa yake tarajiwa ila bado akili yake ipo kwangu mda wote.
Oleweni acheni kugegedwa hovyoWanaboa sana.
Aisee wazazi wa siku hizi wajinga sana. Ningekuwa baba yake nasikia amejibu hivyo nitamwita na kumwambia huo umalaya usilete kwangu.Hahaha kuna mtoto wa dada aliulizwa unaolewa lini, akajibu nikiolewa kwani nyie mnafaidika nini? Mpaka leo hakuna aliyeuliza tena swali kama hilo
Nioe basi tumalize kazi😀Oleweni acheni kugegedwa hovyo
Kama mnalijua hilo usingie naye kwenye ndoa.Hapo kwenye pesa alafu ikwishe daah,,kumuheshimu mwanaume usompenda ni mtihani sana
Ndoa ni jambo la kheri mkuu au hujuiKama mnalijua hilo msingie naye kwenye ndoa.
Ni jambo la heri ambalo ndani yake kuna viapo ambavyo unavyotakiwa uviishi "nitakuwa naye kwa shida na raha........ uzima na ugonjwa........".Ndoa ni jambo la kheri mkuu au hujui
Nauhakika bado ni kijana uko 20's ukifika 30's alafu uendelee kuwa single internal struggle itakutesa sana kiasili mwanadamu hajaumbwa kuishi singleShida kubwa ni kushindwa kuhimili pressure tunazokumbana nazo kwenye jamii, na kujiona umri unakimbia.
Nyumbani kila siku uulizwe unaolewa lini wenzio wanaolewa tu, utafkiri we ndo unaamua sasa naolewa.
Bado hujaja kwa marafiki (wale wenye marafiki kama utitiri na asilimia kubwa wawe wameolewa) kila leo nao wakukomalie mara olewa shosti sa sijui ukaolewe mke wa pili na mume wake 😏
sasa kama hujielewi nawewe ndo unajitumbukiza tu popote ilimradi kasema ndoa ili tu wakuone nawewe kumbe unaweza kuolewa, kumbe maskini unayeenda kuolewa naye hisia naye tu hunaaa.
Wadada tufanye mambo mengine hizo ndoa zitukutage mbeleni tusikimbilie too sad wengine mpaka tunajioa, yani ukampe mwanaume hela akulipie mahari upuuzi wa kiwango cha lami.
Mamkubwa zangu walishaniulizaga unaolewa lini nikawajibu, kama raha kuolewa waolewe mara ya pili ila tusiulizane mambo ambayo siamui mimi ebooo.
Kuishi single kunachangamoto zake na ni Bora kuoa kuliko kuishi single ukiwa bado kijana una nguvu huwez elewa hivi vituNi jambo la heri ambalo ndani yake kuna viapo ambavyo unavyotakiwa uviishi "nitakuwa naye kwa shida na raha........ uzima na ugonjwa........".
Hivyo viapo ndio ndoa yenyewe, ukikubali ndoa manake umekubali kuuishi ktk hivyo viapo.Sio leo ana hela upo naye kesho hana una mkimbia.
Nauhakika bado ni kijana uko 20's ukifika 30's alafu uendelee kuwa single internal struggle itakutesa sana kiasili mwanadamu hajaumbwa kuishi single
Unaongea kirahis rahis sababu bado ni kijana na unanguvu
Ajabu ni kwamba mwanamke anafundishwa kupendaHapo kwenye pesa alafu ikwishe daah,,kumuheshimu mwanaume usompenda ni mtihani sana
Kwa kauli Zako bado ni mtoto unaweza ukawa na miaka 50 lakin bado ukawa na akili za kitoto na kuna kijana ana miaka 20's lakin anaakili za kiutu uzimaAhahaaa hujui hata umri wangu we soma tu afu acha mambo ya umri niachie mwenyewe.
😂😂Mwanamke hapendi, mwanamke anamuheshimu mwanaume mwenye hela basi