Wanawake tunaolewa na walio tayari kwa ndoa

Sio nyodo muda mwingine shukuru kama mtu hakupendi na anakuonyesha
Atakuletea suluba kwenye ndoa buree
Mtoa mada naunga mkono hoja and vice versa ata sis wanaume unakuta unaempenda ana nyodo anaamua kuoa aliyepo kwa vigezo vya tabia maisha yaende mbele
 
Hizi bahati wenzetu mnazipataje?
 
Hapo kwenye pesa alafu ikwishe daah,,kumuheshimu mwanaume usompenda ni mtihani sana
 
Hahaha kuna mtoto wa dada aliulizwa unaolewa lini, akajibu nikiolewa kwani nyie mnafaidika nini? Mpaka leo hakuna aliyeuliza tena swali kama hilo
Aisee wazazi wa siku hizi wajinga sana. Ningekuwa baba yake nasikia amejibu hivyo nitamwita na kumwambia huo umalaya usilete kwangu.

Hivi kweli mzazi mtoto wako anafikisha miaka 30 hajaoa wala kuolewa unafirahi tuu...ujinga mtupu.
 
Ndoa ni jambo la kheri mkuu au hujui
Ni jambo la heri ambalo ndani yake kuna viapo ambavyo unavyotakiwa uviishi "nitakuwa naye kwa shida na raha........ uzima na ugonjwa........".

Hivyo viapo ndio ndoa yenyewe, ukikubali ndoa manake umekubali kuuishi ktk hivyo viapo.Sio leo ana hela upo naye kesho hana una mkimbia.
 
Nauhakika bado ni kijana uko 20's ukifika 30's alafu uendelee kuwa single internal struggle itakutesa sana kiasili mwanadamu hajaumbwa kuishi single

Unaongea kirahis rahis sababu bado ni kijana na unanguvu
 
Kuishi single kunachangamoto zake na ni Bora kuoa kuliko kuishi single ukiwa bado kijana una nguvu huwez elewa hivi vitu
 
Ahahaaa hujui hata umri wangu we soma tu afu acha mambo ya umri niachie mwenyewe.
Nauhakika bado ni kijana uko 20's ukifika 30's alafu uendelee kuwa single internal struggle itakutesa sana kiasili mwanadamu hajaumbwa kuishi single

Unaongea kirahis rahis sababu bado ni kijana na unanguvu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…