Upendo iswa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 345
- 548
Kuna mmoja aliniletea pigo za namna hiyo hapa mtaani nimempandishia vioo sasa hivi ni salamu tu sina story naeWengine wameanza na katabia ka kusema "basi Zaa hata upate mtoto tu kama mume hupati"
Hata sis Wanaume tunaowapenda Mara nyingi hawatupendi na hata wale tunaowaoa sio kwamba tunaowapenda sana hapana ni kubaliani na Hali halisiNdio hivyoo mkuuu tunakubali maisha yaendeleee
Its a real painTunaowapenda hawatupendi wanaotupenda hatuwapendi[emoji419]
Nimekuelewaa mkuu..na ndio majority tunaishi humooooHata sis Wanaume tunaowapenda Mara nyingi hawatupendi na hata wale tunaowaoa sio kwamba tunaowapenda sana hapana ni kubaliani na Hali halisi
SawaSio huruma it's reality
Failure happen when you unable to deal with reality
🤣🤣 life is not fair for sureNa hapo ndo we naye siku ukiwa tayari utakutana na muongo asiye na feelings zozote kwako!
Kumbe....Hata sis Wanaume tunaowapenda Mara nyingi hawatupendi na hata wale tunaowaoa sio kwamba tunaowapenda sana hapana ni kubaliani na Hali halisi
Mkuu upendo tuu, kuna wanawake wanapenda kweli na hawaigizi kabisaa na tena ni warembo haswaHizi bahati wenzetu mnazipataje?
Tatizo wengi wao wana akili za kushikiwa, unaweza ukakuta kweli demu anampenda mwana ila marafiki zake utawasikia "yaani wewe na uzuri wote unatembea na kapuku kama huyu.........",ndio hapo anapo amua kumfanya mwana waziri wa mambo ya ndani na kutafuta kipopa kama waziri wa fedha na wengine hufikia mpaka kuolewa na waziri wa fedha ,huku waziri wa mambo ya ndani akishushwa na kuwa kidumu chake.Mkuu upendo tuu, kuna wanawake wanapenda kweli na hawaigizi kabisaa na tena ni warembo haswa
Bado najishauri Mkuu ili nifanye maamuzi ambayo hata huko mbele yakitokea yakitokea nisilaumu mtu bali nikubaliane na hali.Njoo tujilipue mkuu...let's sail together
Kwa hiyo unajiona nani?Kuna mmoja aliniletea pigo za namna hiyo hapa mtaani nimempandishia vioo sasa hivi ni salamu tu sina story nae
Umeongea kweli mie npo na mshkaj wangu mwaka wa saba huu Agemate, Dini tofauti, Hakuna ndoa tuna lea fresh kupendana ndo kama tumekutana jana.Nisikilize madam !!Maisha unatakiwa kuwa na mpenzi mshkaji halafu mnapendana hatar hii itasaidia kutobagua dini wala kabila yaani una mshkaji mnapendana hata kuzaa mnazaa ila mnaweza msifunge ndoa hata miaka 10 mkawa mnaishi hata kama mna dini tofauti tatizo lenu wasichana watu mlikuwa nao kweny umri sawa yaani age mates mnawaona labda watoto mnaangukiwa kwa mizee mwisho wa siku kama unaishi na baba ako.
Sasa kama huyo anakuoenda kwa nini wewe usimuwowe au wee wataka chakata mbususu tuu hamna kuweka ndani?Mkuu upendo tuu, kuna wanawake wanapenda kweli na hawaigizi kabisaa na tena ni warembo haswa
Kweli unajikuta umeolewa ghaflausiingie kwenye mahusiano mda mfupi baada ya breakup subiri upone
Kweli, ndivyo inatakiwa kuwa..Na kupnda pia sio kazi yetu ndo maana tunaumiasana mwanmke anatakiwa amuheshimu na amtii mwanaume mwanaume ndo antakiwa ampende mwanamke ila tuna kiherehere tu 😄
Wenyewe wanatuambia wanawake hatujaumbiwa kupenda, Where! Which! When!!! Eti tumeumbwa kutii wapi??? Nakazia, huwezi mheshimu wala kumtii usiyempenda.
Sisi wanawake tukipenda safi sana, tunaheshimu, tunatii na wala sio wabinafsi.
Matatizo mengi yanayoendelea ni sababu ya watu kuolewa na wasio watu wao. Wanaolewa for sake of it, acha tuendelee kusikia matukio.
Duuh!Tenaa sisi wanawakee ni mabingwaa wa kupretend kupendaa..Ila mjuee tu kwamba tunawezaa kuolewaa lkn Kuna mtuu anakuwaa ameutekaa kbsaa moyooo yaan ule upendo wa ndani kbsaaaa..Na hakuna kitu utawezaa kubadilisha lkn tunaweza kuwepo kwenye ndoa kiroho Safi kbsaa lkn tunapendaa kwingineee☺️☺️